A level mkuuA level au O level
!!!!?????
#WAHUNI SIO WATU WAZURI
Na Wewe Umesoma Nje?? Na Wao Wanafundisha Kujibu Usichoulizwa??Tanganyika na Zanzibar hamna shule bali mifano ya shule.
Ukihitaji shule jaribu SA, Namibia, Kenya ukiona haiwezekani fika Singapore, UK, Suisse au Germany.
Samahani nakili kosa 🙇.Na Wewe Umesoma Nje?? Na Wao Wanafundisha Kujibu Usichoulizwa??
Tanzania V-wonder At Work
Tanganyika na Zanzibar hamna shule bali mifano ya shule.
Ukihitaji shule jaribu SA, Namibia, Kenya ukiona haiwezekani fika Singapore, UK, Suisse au Germany.
Welcome mkuu.Habari zenu wana jamvi naomba mnifahamishe shule nzuri za advance ziwe boys tupu au co-education.
Nakama mkieza kuniambia Na ada zao itakuwa vizuri zaidi.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shule ipo maeneo gani na inaitwaje!!Kwa mahitaji ya kusoma A-level kwa michepuo ya ECA, HGL, HGK na HGE nicheki 0785907371.
Ada ni 1M tu kwa mwaka bweni. Wavulana na wasichana.
Shule ipo Dar es salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app