Shule nzuri

Ipi dot com

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
306
Reaction score
166
Habari zenu wakuu?
Naomba msaada wa mwenye kufahamu hili, ukiondoa shule za serikali zinazofundisha watoto wakorofi je kuna shule (sekondari) inayo fanya hivyo angalau kujaribu?
 
Habari zenu wakuu?
Naomba msaada wa mwenye kufahamu hili, ukiondoa shule za serikali zinazofundisha watoto wakorofi je kuna shule (sekondari) inayo fanya hivyo angalau kujaribu?
Au shule gani inafaa kwa watoto wa aina hii?
 
Jaribu shule za Jeshi, kuna binamu yangu alikuwa mtukutu yaani alisumbua vibaya mno, kila shule anayotafutiwa lazima aharibu. Yaani alisoma kidato cha tatu miaka 4. Alipopelekwa Kizuka Sekondari kule Ngerengere alinyooka mwenyewe.
 
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/brick.gif" border="0" alt="" title="Brick" smilieid="139" class="inlineimg" />
<br />
<br />
teh teh teh
 
Jaribu shule za Jeshi, kuna binamu yangu alikuwa mtukutu yaani alisumbua vibaya mno, kila shule anayotafutiwa lazima aharibu. Yaani alisoma kidato cha tatu miaka 4. Alipopelekwa Kizuka Sekondari kule Ngerengere alinyooka mwenyewe.
<br />
<br />
asante mkuu ntakupm unipe detail zaidi nashukuru sana
 
Mpeleke shule za kidini akajengwe kimaadili...atanyooka vizuri.
 
Kama mtoto wako umemshindwa unadhani waalimu watammudu.
Nyie ndio mnawaongezea waalimu matatizo. Kaa na mwanao.
 
Mpeleke tosamaganga kule iringa,atafurah mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…