bluetooth23
JF-Expert Member
- Apr 8, 2013
- 348
- 326
Hakuna kitu kama Vigezo vya Kimataifa vya Mji kuwa Jiji, kila nchi inaweka Vigezo vyake kulingana na inavyoona inafaa!Tukizingatia vigezo vya kuwa jiji,Tanzania hatutakuwa na jiji hata moja
Wakuu salut kwenu, wenye ujuzi na uelewa wa masuala ya ukuaji wa miji na majiji naombeni mnipanue uelewa juu ya sifa (universal qualifications) muhmu za mji kupewa hadhi ya jiji (city). Maana yake nikichek jiji kama New York lilivyo na pia huku kwetu TZ jiji kama Tanga na Mbeya na Arusha daah.. Cna hakika kama miji hii inalingana sifa na majiji kama J'burg, Cairo, New York, Hamburg, Cardiff, Copenhagen na mengineyo. Wakuu nipo kwenye dawati tayari mwenye uelewa anipe shule plz...
Hakuna kitu kama Vigezo vya Kimataifa vya Mji kuwa Jiji, kila nchi inaweka Vigezo vyake kulingana na inavyoona inafaa!
Usipotoshe watu hapa!
Hakuna kitu kama Hicho, wewe ndio unataka kupotosha!
Hebu niambie hicho Kigezo cha Kimataifa kama kama unasema kipo!
Kigezo wanachotumia Marekani siyo kigezo kinachotumiwa na Ujapani, na kigezo kinachotumiwa na Uchina siyo kigezo kinachotumiwa Tanzania!
Narudia tena usipotoshe watu mkuu!