Shule tano za sekondari zateketea kwa moto nchini Kenya

real G

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2013
Posts
5,227
Reaction score
5,299
Shule tano za Sekondari zimeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo nchini Kenya katika maeneo tofauti ambapo Viongozi wa shule hizo wanaendelea na upelelezi ili kuweza kubaini chanzo cha moto katika shule zao.
Matukio ya shule kuungua moto yamekuwa yakiongezeka nchini Humo na siku za hivi karibuni wanafunzi 42 walipandishwa kizimbani nchini Kenya, katika mahakama tofauti kwa tuhuma za kuhusika na uchomaji moto shule
 
Nimekuwa nikitatizwa na Huu upumbavu wa Wanafunzi wa Kenya
Sijui wanamkomoa nani!!
Kusogezwa kwa Likizo ilete ujinga huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…