Yani serikali iache kufanya mambo yenye mantiki ,eti ianze kuenzi masalia ya wajerumani...
Tanga tech. imeshaishiwa habari yake,yamebaki magofu tu pale...
Cha msingi watoe ule utech. then igeuzwe kuwa shule ya kata,ili wakaazi wa maeneo jirani wanufaike na rasilimali za hitler