DOKEZO Shule ya Lucas Malia Lindi imekataa kupokea wanafunzi wa Kike walioripoti kwa kuchelewa. Siku ya pili sasa wanalala mitaani bila kujua hatma yao

DOKEZO Shule ya Lucas Malia Lindi imekataa kupokea wanafunzi wa Kike walioripoti kwa kuchelewa. Siku ya pili sasa wanalala mitaani bila kujua hatma yao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Status
Not open for further replies.

Heparin

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2021
Posts
242
Reaction score
1,141
Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike.

Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku kulala nje ya shule.

Jumatatu ya Julai 10, 2023 walikuwa hajapokelewa bado, hadi sasa wapo mitaani na usiku wa pili sasa wanalala nje.

Tunaomba mamlaka zifuatilie suala hili.

===

JamiiForums imefuatilia suala hili, soma: Wanafunzi waliochelewa kuripoti shule ya wasichana ya Lucas Malia walala mtaani baada ya kuzuiwa kuingia
 
Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike.

Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku kulala nje ya shule.

Jumatatu ya Julai 10, 2023 walikuwa hajapokelewa bado, hadi sasa wapo mitaani na usiku wa pili sasa wanalala nje.

Tunaomba mamlaka zifuatilie suala hili.
Kama upo kwenye mitandao mingine ya kijamii toa lalamiko lako kwa wahusika muda mwingine comment shida yako unaweza ukapata msaada
Jingine nenda wilayani kwa arisa elimu utapaiti2a msaada pia
 
Kwani hakukua na time frame ya muda wa kureport,,, hili lilitokea JKT na Limetokea Shule. Ni vile Watanzania hatupendi kwenda na muda af baadae tunataka Public Sympathy. Tujifunze kuzingatia maelekezo.
 
Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike.

Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku kulala nje ya shule.

Jumatatu ya Julai 10, 2023 walikuwa hajapokelewa bado, hadi sasa wapo mitaani na usiku wa pili sasa wanalala nje.

Tunaomba mamlaka zifuatilie suala hili.


Hawana wazazi? Usipopokelewa shule si unapiga simu Nyumbani,

1. Wazazi wanakuja shule.
2. Wanarudi nyumbanu.

Kama wanazurura na hawawezi kuwasiliana na Nyumbani, ni washenzy na wamelelewa vibaya na ni matatizo yao.

Hizi shule huwa zina uongozi na watu wanaojielewa na wengine ni wazazi, there is more in that story.
 
Kwani hakukua na time frame ya muda wa kureport,,, hili lilitokea JKT na Limetokea Shule. Ni vile Watanzania hatupendi kwenda na muda af baadae tunataka Public Sympathy. Tujifunze kuzingatia maelekezo.
Sawa lakini kumlaza nje mtoto wa sekondali Tena wa kike pia ni ujinga wa walimu inamaana wamekosa njia nyingine ya kotoa adhabu?
 
Eti Mamlaka Kwani hamkujua tarehe ya kufungua. Kumbukeni iyo ni PRIVATE sio ya serikali sawa. Kama mmeshindwa kuendana nao toa mtoto peleka KAYUMBA mtoto anapokelewa hata kama KAZAA katoa MIMBA huko ndio saizi yako.
 
Hiyo shule wanasoma bure au wazazi wanalipa ada?

Huu upuuzi wa shule za Tanzania nasubiri tu mtoto wangu akue kuna siku nita trend kwa kuwalamba hao waalimu makofi. Haiwezekani mtu una hustle umlipie mwanao halafu hao watu wanazingua kwasababu za kijinga.

Ifike mahali tuheshimiane.
Shule za private ni kama wanakatiba yao tofauti na nchi, unakuta hata mzazi awe ajalipa ada, mtoto atafukuzwa warudishwe nyumbani na bado ukilipea hawakupi chenji ya siku walizomtoa mtoto shule, na maafisa elimu ukienda kureport wanakuzungusha... Yaani ulaji rushwa kila mahali
 
Hiyo shule wanasoma bure au wazazi wanalipa ada?

Huu upuuzi wa shule za Tanzania nasubiri tu mtoto wangu akue kuna siku nita trend kwa kuwalamba hao waalimu makofi. Haiwezekani mtu una hustle umlipie mwanao halafu hao watu wanazingua kwasababu za kijinga.

Ifike mahali tuheshimiane.
Wakati unawalamba wao watakuwa wanakuangalia tu? au watafungwa mikono kwanza?
 
Hiyo shule wanasoma bure au wazazi wanalipa ada?

Huu upuuzi wa shule za Tanzania nasubiri tu mtoto wangu akue kuna siku nita trend kwa kuwalamba hao waalimu makofi. Haiwezekani mtu una hustle umlipie mwanao halafu hao watu wanazingua kwasababu za kijinga.

Ifike mahali tuheshimiane.
Ukitaka shule ya kuendesha kwa sheria zako, fundishia sebuleni kwako
 
Wakati unawalamba wao watakuwa wanakuangalia tu? au watafungwa mikono kwanza?

Ukitaka shule ya kuendesha kwa sheria zako, fundishia sebuleni kwako
Naona waalimu mnataka kunipanda kichwani. Hamjui kuwa hizo shule ni biashara? Au mnasomesha bure watoto?

Sasa unawezaje kuleta jeuri kwenye biashara? Mimi nitawalamba makofi na nitawatia ndani mjifunze kuheshimu hela za watu sio kukalisha makalio tu ofisini na kutesa watoto wa watu.
 
Kuna tukio linaendelea Lindi katika shule ya Lucas Malia ya wanafunzi wa kike.

Wanafunzi wamechelewa kuripoti na walimu wamekataa kuwapokea tangu Jumapili ya Julai 9, 2023 hali iliyowafanya usiku kulala nje ya shule.

Jumatatu ya Julai 10, 2023 walikuwa hajapokelewa bado, hadi sasa wapo mitaani na usiku wa pili sasa wanalala nje.

Tunaomba mamlaka zifuatilie suala hili.
Warud om wakawalete wazazi shida ipo wapi hapo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom