Mzee wa Code
Member
- Sep 23, 2024
- 61
- 91
Kati ya mambo yanastaajabisha nchi hii ni viongozi kuendekeza mambo yasikuwa na tija kwa wananchi na jamii, Serikali imeshindwa kujenga jengo la Ofisi ya Mwalimu Mkuu na Waalimu katika Shule ya Kambarage inayopatika ndani hya Jiji la Dodoma maeneo Vyeyula.
Shule hii yenye Walimu 12, wanarundikana katika ofisi yenye vyumba viwili, kachumba chenyewe kina dirisha moja na mlango mmoja.
Viongozi wa nchini hii sijui uwa wanafikiria kwa namna gani? Kweli Shule inakosa Ofisi ya Waalimu huku mnatoa pesa kwa ajili ya mambo yasiyokuwa na tija?
Mamlaka za Jiji la Dodoma katimizeni wajibu wenu Shule ya Kambarage kwa kuwajengea Ofisi Walimu, ni jambo embalo lipo ndani ya uwezo wenu.
Mbunge Dodoma Mjini, Antony Mavunde kutwa unadhamini mashindano ya mpira ya ndondo lakini miundombinu ya Shule ambayo itakuja kuzalisha wanataaluma wengi na hao wanamichezo mmeitupa.
Soma Pia: Shule ya Msingi Mazengo Makang'wa (Dodoma) Wanafunzi wanafukuzwa na kulimishwa mashamba ya Walimu kwa kutolipa hela ya taaluma
Shule hii yenye Walimu 12, wanarundikana katika ofisi yenye vyumba viwili, kachumba chenyewe kina dirisha moja na mlango mmoja.
Viongozi wa nchini hii sijui uwa wanafikiria kwa namna gani? Kweli Shule inakosa Ofisi ya Waalimu huku mnatoa pesa kwa ajili ya mambo yasiyokuwa na tija?
Mamlaka za Jiji la Dodoma katimizeni wajibu wenu Shule ya Kambarage kwa kuwajengea Ofisi Walimu, ni jambo embalo lipo ndani ya uwezo wenu.
Mbunge Dodoma Mjini, Antony Mavunde kutwa unadhamini mashindano ya mpira ya ndondo lakini miundombinu ya Shule ambayo itakuja kuzalisha wanataaluma wengi na hao wanamichezo mmeitupa.
Soma Pia: Shule ya Msingi Mazengo Makang'wa (Dodoma) Wanafunzi wanafukuzwa na kulimishwa mashamba ya Walimu kwa kutolipa hela ya taaluma