Shule ya msingi uvukoni kigamboni hutoza fedha za mtihani kila ijumaa

Shule ya msingi uvukoni kigamboni hutoza fedha za mtihani kila ijumaa

mmaroroi

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2008
Posts
4,635
Reaction score
2,271
Shule ya Msingi kutoza fedha za mtihani kila ijumaa ni halali,shule hiyo pia hutoza rimu ya karatasi kwa ajili ya mtihani achilia mbali fedha ya mlinzi kwa mtindo huu tutafika?Mwanafunzi asiyelipa fedha hii hupewa adhabu pamoja na kuwa hajafanya mtihani huo.Je wizara ya elimu inayajua haya?wazazi wasumbuliwa kwa mambo mengi kwani tuisheni pia pembeni.
 
Kama hiyo mitihani inakuwa na ubora unaokubalika na malengo mazuri ya kumjenga kijana wako, nadhani ni jambo zuri. Labda tatizo ninaloliona linaweza kuwa walezi na walezi hawakuwa wameshirikishwa ipasavyo ktk uanzishwaji na uratibu wa jambo lenyewe, au labda wewe ndiwe uliye-skip mkutano wa wazazi. Unless stated otherwise inabidi utupe full story muzee.
 
Kama hiyo mitihani inakuwa na ubora unaokubalika na malengo mazuri ya kumjenga kijana wako, nadhani ni jambo zuri. Labda tatizo ninaloliona linaweza kuwa walezi na walezi hawakuwa wameshirikishwa ipasavyo ktk uanzishwaji na uratibu wa jambo lenyewe, au labda wewe ndiwe uliye-skip mkutano wa wazazi. Unless stated otherwise inabidi utupe full story muzee.

Kama mitihani hiyo ina umuhimu, ni vizuri kuiingiza katika michango ya mwaka, yaani mzazi akilipa pamoja na Karo inakuwa mara moja tu kuliko kila ijumaa na kuwafanya watoto kuwa kwenye stress. Kazi ya karo(ada) fees ni administrative issues including mitihani, mishahara ya walimu kama ni private school, na huduma zote zinazohusu kutoa elimu. Sasa kuweka mafungu katika haya ni wizi ambao unatakiwa kukemewa.
 
Kama mitihani hiyo ina umuhimu, ni vizuri kuiingiza katika michango ya mwaka, yaani mzazi akilipa pamoja na Karo inakuwa mara moja tu kuliko kila ijumaa na kuwafanya watoto kuwa kwenye stress. Kazi ya karo(ada) fees ni administrative issues including mitihani, mishahara ya walimu kama ni private school, na huduma zote zinazohusu kutoa elimu. Sasa kuweka mafungu katika haya ni wizi ambao unatakiwa kukemewa.

Je kuna skabadhi ambayo hao watoto wanapewa baada ya hayo malipo??
Je vikao vya shule vinajulishwa kuhusu mapato yanayotokana na aina hii ya mitihani?? Je kamati ya shule inaelewa kuhusu ili??
Na hii mitihani inaandaliwa na shule au kuna baadhi ya waalimu wameanzisha huu mradi?
 
Kama mitihani hiyo ina umuhimu, ni vizuri kuiingiza katika michango ya mwaka, yaani mzazi akilipa pamoja na Karo inakuwa mara moja tu kuliko kila ijumaa na kuwafanya watoto kuwa kwenye stress. Kazi ya karo(ada) fees ni administrative issues including mitihani, mishahara ya walimu kama ni private school, na huduma zote zinazohusu kutoa elimu. Sasa kuweka mafungu katika haya ni wizi ambao unatakiwa kukemewa.

Kimsingi sioni tatizo iwapo michango inalipwa weekly au annually, provided wazazi na walezi wameridhia hivyo. Stress sidhani. Maana binadamu ana stress ktk mambo mengi mno, wakati mwingine hata bila sababu. Nadhani michango hiyo itakuwa only few bucks, we don't need to exaggarate kila kitu. Tkumbuke kuwa suala la elimu ni la kufa na kupona.

Mimi nakumbuka, wakati nasoma std 7 in 1980s, kulikuwa na weekly tests ambazo ni za hiari lakini ni za kulipia. Nakumbuka jinsi wakati mwingine mzazi wangu alipoishiwa, hakuona haya kwenda kupiga kirungu jirani kwenye duka la Mangi, ili niende kupiga pepa. Wabongo tujifunze kulipia elimu.
 
Back
Top Bottom