Shule ya private,fursa maridhawa kwa wawekezaji halmashauri mpya ya Buchosa mkoa wa Mwanza!

Shule ya private,fursa maridhawa kwa wawekezaji halmashauri mpya ya Buchosa mkoa wa Mwanza!

Mzaleee

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
2,069
Reaction score
3,899
Wakuu kwema?

Nianze kwa Ku declare interest ya kuwa mm ni mwalimu by professional,na nikiwa kama mwalimu na mwenyeji wa halmashauri mpya hii ya BUCHOSA yenye makao makuu yake katka mji wa NYEHUNGE,napenda kwa dhati kabisa kukushirikisha fursa hii niliyo iona ktk huu mji wa Nyehunge!!!

Kwa kutumia professional yangu ya ualimu nimegundua uhitaji mkubwa sana wa uwepo wa shule binafsi ya secondary ktk eneo hili la nyehunge, kwani ukumbuke ya kuwa hadi mda huu naandika hakuna shule ya secondary inayo milikiwa na mtu binafsi.

Kwa nini shule binafsi?
Kwa kuanza yakupasa uelewe ya kuwa hii halmashauri ya buchosa inawakazi wengi sana na wenye kiu ya elimu hvo uhitaji wao wa kusoma bado upo juu,hii inaweza kudhibitishwa kwa kuangalia ni namna gani wazazi wanahangaika kutafuta shule za binafsi zilizo mbali mfano Mwanza manispaa na mikoa ya jirani kama Geita..

Pia utambue ya kuwa shule hii itakuwa ya kwanza na ya pekee wa halmashauri zima ya Buchosa hvo uwezekano wa upatikanaji wa wanafunzi ni wauhakika!

Nini kifanyike ?
Nikukaribushe ww mjasirimali uje kuwekeza kwenye hii sekta ya elimu kwenye hii halmashauri naamini hutajutia !

Mchanganuo wa gharama na vibali vya namna ya kusajili shule naomba kwa pamoja tuendelee kujadili katk huu mjadala maana sipend kuwachosha kwa maandishi mengi!!

Asanteni sana !!!
Mzaleee/Rafiki!
 
Modes huu uzi uhamishiwe kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko
 
Wakuu kwema?

Nianze kwa Ku declare interest ya kuwa mm ni mwalimu by professional,na nikiwa kama mwalimu na mwenyeji wa halmashauri mpya hii ya BUCHOSA yenye makao makuu yake katka mji wa NYEHUNGE,napenda kwa dhati kabisa kukushirikisha fursa hii niliyo iona ktk huu mji wa Nyehunge!!!

Kwa kutumia professional yangu ya ualimu nimegundua uhitaji mkubwa sana wa uwepo wa shule binafsi ya secondary ktk eneo hili la nyehunge, kwani ukumbuke ya kuwa hadi mda huu naandika hakuna shule ya secondary inayo milikiwa na mtu binafsi.

Kwa nini shule binafsi?
Kwa kuanza yakupasa uelewe ya kuwa hii halmashauri ya buchosa inawakazi wengi sana na wenye kiu ya elimu hvo uhitaji wao wa kusoma bado upo juu,hii inaweza kudhibitishwa kwa kuangalia ni namna gani wazazi wanahangaika kutafuta shule za binafsi zilizo mbali mfano Mwanza manispaa na mikoa ya jirani kama Geita..

Pia utambue ya kuwa shule hii itakuwa ya kwanza na ya pekee wa halmashauri zima ya Buchosa hvo uwezekano wa upatikanaji wa wanafunzi ni wauhakika!

Nini kifanyike ?
Nikukaribushe ww mjasirimali uje kuwekeza kwenye hii sekta ya elimu kwenye hii halmashauri naamini hutajutia !

Mchanganuo wa gharama na vibali vya namna ya kusajili shule naomba kwa pamoja tuendelee kujadili katk huu mjadala maana sipend kuwachosha kwa maandishi mengi!!

Asanteni sana !!!
Mzaleee/Rafiki!
Nimeipenda hii wazo zuri
 
vip kwa upande was shule ya msingi na na za awali, kutoka dar nauli shilingi ngapi hadi kufika huko
 
vip kwa upande was shule ya msingi na na za awali, kutoka dar nauli shilingi ngapi hadi kufika huko
Kwa upande wa shule za awali kuna vi centre ambavyo siyo rasmi na ni vingi sana labda kdg msingi ndo bado kuna uhitaji ila uhitaji mkubwa sana upo secondary ..

Kuhusu nauli andaa 50000elf had unafika kutoka Dar!!!
 
Upo tayari kukabiliana na changamoto mbalimbali. Mm ni mtumishi hii wilaya ya Buchosa na visiwa vyake karibia vyote nimetembea. Mwamko wa elimu kwa wazazi na watu wa asili ya huku ni mdogo kama nchi ndo imepata uhuru jana. Hongera kwa wazo na jiandae kukabiriana na changamoto. Kisiwan kome mm naishi kuna shule 2 tu za sekondari za serikali. Wanafunzi hufika hadi 80 kwa mkondo mmoja. Darasa moja huenda mikondo hadi mitano
 
Thanks...
Wakuu kwema?

Nianze kwa Ku declare interest ya kuwa mm ni mwalimu by professional,na nikiwa kama mwalimu na mwenyeji wa halmashauri mpya hii ya BUCHOSA yenye makao makuu yake katka mji wa NYEHUNGE,napenda kwa dhati kabisa kukushirikisha fursa hii niliyo iona ktk huu mji wa Nyehunge!!!

Kwa kutumia professional yangu ya ualimu nimegundua uhitaji mkubwa sana wa uwepo wa shule binafsi ya secondary ktk eneo hili la nyehunge, kwani ukumbuke ya kuwa hadi mda huu naandika hakuna shule ya secondary inayo milikiwa na mtu binafsi.

Kwa nini shule binafsi?
Kwa kuanza yakupasa uelewe ya kuwa hii halmashauri ya buchosa inawakazi wengi sana na wenye kiu ya elimu hvo uhitaji wao wa kusoma bado upo juu,hii inaweza kudhibitishwa kwa kuangalia ni namna gani wazazi wanahangaika kutafuta shule za binafsi zilizo mbali mfano Mwanza manispaa na mikoa ya jirani kama Geita..

Pia utambue ya kuwa shule hii itakuwa ya kwanza na ya pekee wa halmashauri zima ya Buchosa hvo uwezekano wa upatikanaji wa wanafunzi ni wauhakika!

Nini kifanyike ?
Nikukaribushe ww mjasirimali uje kuwekeza kwenye hii sekta ya elimu kwenye hii halmashauri naamini hutajutia !

Mchanganuo wa gharama na vibali vya namna ya kusajili shule naomba kwa pamoja tuendelee kujadili katk huu mjadala maana sipend kuwachosha kwa maandishi mengi!!

Asanteni sana !!!
Mzaleee/Rafiki!
 
Upo tayari kukabiliana na changamoto mbalimbali. Mm ni mtumishi hii wilaya ya Buchosa na visiwa vyake karibia vyote nimetembea. Mwamko wa elimu kwa wazazi na watu wa asili ya huku ni mdogo kama nchi ndo imepata uhuru jana. Hongera kwa wazo na jiandae kukabiriana na changamoto. Kisiwan kome mm naishi kuna shule 2 tu za sekondari za serikali. Wanafunzi hufika hadi 80 kwa mkondo mmoja. Darasa moja huenda mikondo hadi mitano
Mkuu ww utakuwa unafanya kazi halmashauri ya buchosa ila ukweli ulio wazi ni kuwa ww bado mgeni sana mazingira hayo,unaposema shule za serikali zina hadi watoto 80 mkondo mmoja huoni ndo fursa yenyewe hiyo na upande wa mwamko wa wazazi kusomesha upo juu sana jikite kwenye kufanya research kdg kwa kila kaya utaona jinsi kila kaya ilivyo angalau na vijana kadhaa walio shule ...
 
H
Mkuu ww utakuwa unafanya kazi halmashauri ya buchosa ila ukweli ulio wazi ni kuwa ww bado mgeni sana mazingira hayo,unaposema shule za serikali zina hadi watoto 80 mkondo mmoja huoni ndo fursa yenyewe hiyo na upande wa mwamko wa wazazi kusomesha upo juu sana jikite kwenye kufanya research kdg kwa kila kaya utaona jinsi kila kaya ilivyo angalau na vijana kadhaa walio shule ...
Hapana shaka research yako imejikita makao makuu yaan nyehunge. Njoo visiwan huku. Mm nafundisha tuishen nipo na waalimu wenzangu. Tunafundisha tuishen masomo yote na practicalz kwa elfu 10 tuu. Ila tunazipata hizo hela kwa mbinde mkuu. Wazaz wa huku wamejikuta wengi wao wanaamin mfumo wa elimu bure pasina kiziona changamoto zilizopo na matunda yatokanayo na mfumo huu
 
Upo tayari kukabiliana na changamoto mbalimbali. Mm ni mtumishi hii wilaya ya Buchosa na visiwa vyake karibia vyote nimetembea. Mwamko wa elimu kwa wazazi na watu wa asili ya huku ni mdogo kama nchi ndo imepata uhuru jana. Hongera kwa wazo na jiandae kukabiriana na changamoto. Kisiwan kome mm naishi kuna shule 2 tu za sekondari za serikali. Wanafunzi hufika hadi 80 kwa mkondo mmoja. Darasa moja huenda mikondo hadi mitano
Hizo shule ni za private?
 
Kwa shule za boys only hapo ni sawa maana kwa girls kunaweza kuwa na changamoto hadi shule kufungwa maana inasadikiwa kule ulozi upo nje nje kwa girls
 
Kwa shule za boys only hapo ni sawa maana kwa girls kunaweza kuwa na changamoto hadi shule kufungwa maana inasadikiwa kule ulozi upo nje nje kwa girls
Umejuaje mkuu huku bado uchawi unatumika kama nn. Hii jamii badooo sana. Watu wanawanga mchana kweupe wazee na watoto wao ili vitu kama shule visiwepo.
Ila mleta uzi usikate tamaa kuanzisha shule yako ya private ila hizo ndo changamoto.
 
Back
Top Bottom