dedam
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 845
- 166
Shule ya sekondari kizomla iliyoko kata ya mkamba wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani,ina wanafunzi wawili tu wa kidato cha tatu,Shule hiyi iliyoko umbali wa takribani km 80 hivi kutoka mkoa wa Dar es salaam imewapata wanafunzi hao baada ya wengine kufeli kidato cha pili,mtihani uliyofanyika nchini kote mwaka 2012, wanafunzi hao pekee ambao ni mapacha wa jinsi ya ke ndio wanaibeba shule kwa kidato cha tatu.