DOKEZO Shule ya Sekondari Mwalimu Nyerere inahitaji uzio na ofisi ya walimu

DOKEZO Shule ya Sekondari Mwalimu Nyerere inahitaji uzio na ofisi ya walimu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

MwalimuTicha

New Member
Joined
Jun 10, 2012
Posts
2
Reaction score
0
Shule ya Sekondari Mwalimu Nyerere iko mkoa wa Shinyanga halmashauri ya Msalala na matokeo ya kidato cha tano & sita wasichana (PCM na PCB tu) wastani wao wa kufaulisha unakaribiana sana na special schools.

Shule hii haina uzio na haina ofisi ya Walimu nzuri kama ilivyo shule nyingi maarufu za wasichana hapa nchini, na baadhi ya madarasa ni chakavu.

Watoto wa kike wale na shule iko kijijini kuna haja ya Serikali kuitazama hii shule kwa jicho la pili ijengwe kama zinavyojengwa shule nyingine ikiwemo uzio, ofisi ya walimu na kuboresha madarasa.

Screenshot (446).png
Screenshot (447).png
 
Kwaiyo unatafta msaada Jf
Shule ya serikal ya Ccm hayo malalamiko na maombi ungeyapeleka ofisi za chama mybe ungepata msaada haraka

Chama mnekichagua wenyewe kiwaongoze afu bado mnatuletea mattzo yenu humu
Umemuona mbunge wako humu au RC,DC humu
 
Kwaiyo unatafta msaada Jf
Shule ya serikal ya Ccm hayo malalamiko na maombi ungeyapeleka ofisi za chama mybe ungepata msaada haraka

Chama mnekichagua wenyewe kiwaongoze afu bado mnatuletea mattzo yenu humu
Umemuona mbunge wako humu au RC,DC humu
Unacoment ukiwa umefikiria au umeshiba maharage??
 
Back
Top Bottom