DOKEZO Shule ya Sekondari Thaqaafa ya Mwanza ingewambia ukweli wazazi badala ya kuchukua ada zao wakati shule inachukuliwa na msikiti

DOKEZO Shule ya Sekondari Thaqaafa ya Mwanza ingewambia ukweli wazazi badala ya kuchukua ada zao wakati shule inachukuliwa na msikiti

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

jangoma

Member
Joined
Sep 24, 2023
Posts
64
Reaction score
216
Walimu hamuwalipi, wakidai haki zao mnawafukuza, watoto wanakaa mpaka miezi 2 bila mwalimu, mnakusanya ada pesa mnapeleka kwenye makesi ya kung'ang'ania umiliki wa shule.

Kila siku mnawadanganya wazazi kwamba kituo mnarudishiwa mwakani, je nyinyi ndio serikali??
Kwaiyo mnajipangia wenyewe kufunguliwa kituo?

Shule ya primary mmefungua lakini walimu wanaacha kazi kila siku kwa sababu hawalipwi.

Kwanini msiwe wakweli kwamba kesi zimewakalia vibaya mnaenda kunyang'anywa shule? Kwanini bado mnakusanya ada kwa wazazi?

Naskia na yule mama mkongwe ameacha kazi, ameshawaona ni wababaishaji.
Na bado mlitudhulumu waislam shule yetu mlidhani allah atawaacha salama?

Pia soma
 
Kinadada wa mjini wanasema "umewachamba" ila hujawatag wala kufafanua sakata likojez punguza jazba uandike taratabu labda kuna wenye taarifa zaidi yako.
 
Kinadada wa mjini wanasema "umewachamba" ila hujawatag wala kufafanua sakata likojez punguza jazba uandike taratabu labda kuna wenye taarifa zaidi yako.
Anaweza kuwa mwalimu na kapata sehemu ya kujiexpress muache ayatoe yote ya moyoni akimaliza atatupa mkasa wote vizuri..

Eeenh mtoa mada endelea kutupa mikasa ya hiyo shule ya sekondari Utamaduni au kama mnavyoita kwa Lugha ya warabu Thaqaafa secondary school.
 
Anaweza kuwa mwalimu na kapata sehemu ya kujiexpress muache ayatoe yote ya moyoni akimaliza atatupa mkasa wote vizuri..

Eeenh mtoa mada endelea kutupa mikasa ya hiyo shule ya sekondari Utamaduni au kama mnavyoita kwa Lugha ya warabu Thaqaafa secondary school.
Hamna jambo gumu kama kuendesha shule ya sekondari ya private JPM alifanya yake kuhakikisha hizi shule za private zinashindwa kujiendesha thaqaafah naona ni victim wa sera za Jpm, shule nyingi zime kufa.
 
Hamna jambo gumu kama kuendesha shule ya sekondari ya private JPM alifanya yake kuhakikisha hizi shule za private zinashindwa kujiendesha thaqaafah naona ni victim wa sera za Jpm, shule nyingi zime kufa.
Shule inakufa sababu kuu tatu
Kwanza,shule ni ya msikiti huyu mmiliki wa sasa aliwekwa kama msimamizi tu lakini akafanya hila na kujimilikisha shule kwa tamaa ya fedha.Hivyo basi migogoro ya mara kwa mara na wamiliki halali wa shule umefanya wazazi wapoteze imani na shule.
Pili ,mkurugenzi na maswahaba wake hawalipi mishahara ya walimu kwa sababu shule imeingia kwenye ukata wa kifedha kwa kuwa fedha nyingi sana zinaenda kwenye kulipa mawakili na kuhonga ili washinde kesi ya umiliki wa shule lakini hilo limeshindikana kwa sababu haki hata ikichelewa itapatikana tu ,watu wa msikiti wanaendelea kushinda kesi mbali mbali dhidi yake.
Tatu ,Shule ilifungiwa kituo cha mtihani mwaka 2022 baada ya kujihusisha na wizi wa mitihani, wizi huu wa mitihani kulingana na taarifa za kuamunika unaratibiwa na mkurugenzi mwenyewe sio tu kwenye mitihani ya taifa ,hata pia kwenye mitihani ya utamilifu ( mock).Na anajitapa kwamba kituo lazima kifunguliwe mwakani.
Walimu wanapokataa kushiriki vitendo hivyo anawafukuza kazi .
Wazazi wameshajua hili na hawataki tena kupeleka watoto wao .
 
Shule inakufa sababu kuu tatu
Kwanza,shule ni ya msikiti huyu mmiliki wa sasa aliwekwa kama msimamizi tu lakini akafanya hila na kujimilikisha shule kwa tamaa ya fedha.Hivyo basi migogoro ya mara kwa mara na wamiliki halali wa shule umefanya wazazi wapoteze imani na shule.
Pili ,mkurugenzi na maswahaba wake hawalipi mishahara ya walimu kwa sababu shule imeingia kwenye ukata wa kifedha kwa kuwa fedha nyingi sana zinaenda kwenye kulipa mawakili na kuhonga ili washinde kesi ya umiliki wa shule lakini hilo limeshindikana kwa sababu haki hata ikichelewa itapatikana tu ,watu wa msikiti wanaendelea kushinda kesi mbali mbali dhidi yake.
Tatu ,Shule ilifungiwa kituo cha mtihani mwaka 2022 baada ya kujihusisha na wizi wa mitihani, wizi huu wa mitihani kulingana na taarifa za kuamunika unaratibiwa na mkurugenzi mwenyewe sio tu kwenye mitihani ya taifa ,hata pia kwenye mitihani ya utamilifu ( mock).Na anajitapa kwamba kituo lazima kifunguliwe mwakani.
Walimu wanapokataa kushiriki vitendo hivyo anawafukuza kazi .
Wazazi wameshajua hili na hawataki tena kupeleka watoto wao .
Mskiti ni hao hao waislamu hata mskiti ikichukua ni waislamu hao hao ndo wataendesha hiyo shule.....ila zamani shule ilikua oky muwe na subira itasimama tena.
 
Hamna jambo gumu kama kuendesha shule ya sekondari ya private JPM alifanya yake kuhakikisha hizi shule za private zinashindwa kujiendesha thaqaafah naona ni victim wa sera za Jpm, shule nyingi zime kufa.
JPM hahusiki na kinachoendelea shule hiyo. Ni migogoro yao wenyewe hao wazee wa msikitini.
 
Walimu hamuwalipi, wakidai haki zao mnawafukuza, watoto wanakaa mpaka miezi 2 bila mwalimu, mnakusanya ada pesa mnapeleka kwenye makesi ya kung'ang'ania umiliki wa shule.

Kila siku mnawadanganya wazazi kwamba kituo mnarudishiwa mwakani, je nyinyi ndio serikali??
Kwaiyo mnajipangia wenyewe kufunguliwa kituo?

Shule ya primary mmefungua lakini walimu wanaacha kazi kila siku kwa sababu hawalipwi.

Kwanini msiwe wakweli kwamba kesi zimewakalia vibaya mnaenda kunyang'anywa shule? Kwanini bado mnakusanya ada kwa wazazi?

Naskia na yule mama mkongwe ameacha kazi, ameshawaona ni wababaishaji.
Na bado mlitudhulumu waislam shule yetu mlidhani allah atawaacha salama?

Pia soma
Likija suala la usimamizi wa taasisi wavaakobazi huwa wanaangukia pua sana,mana wengi wanatamaa na njaa kali.


Wanaangalia zaidi wingi wa ndevu na ufupi wa kanzu kuliko uwezo na elimu.
 
Likija suala la usimamizi wa taasisi wavaakobazi huwa wanaangukia pua sana,mana wengi wanatamaa na njaa kali.


Wanaangalia zaidi wingi wa ndevu na ufupi wa kanzu kuliko uwezo na elimu.
Mbona hali inafanana karibia shule nyingi Tz acha udini mkuu
 
Mskiti ni hao hao waislamu hata mskiti ikichukua ni waislamu hao hao ndo wataendesha hiyo shule.....ila zamani shule ilikua oky muwe na subira itasimama tena.
Kiongozi kusimama tena sio rahisi kiivo chini ya uongozi uliopo sasa ,labda ikirudi mikononi mwa msikiti, hali ni mbaya kweli kweli, hivi majuzi tumepata taarifa za kuaminika kwamba walezi wa wanafunzi wa bweni yani matron na patron baada ya kuona hawalipwi walizira kazi wakaacha mageti ya mabweni wazi , vijana wapatao watatu waliingia kwenye bweni la wasichana na kujaribu kubaka watoto wa kike,
 
Back
Top Bottom