Shule ya sekondari ya Noonkoir girls yafungwa kufuatia kukithiri kwa kesi za usagaji

Shule ya sekondari ya Noonkoir girls yafungwa kufuatia kukithiri kwa kesi za usagaji

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Shule ya sekondari ya Noonkopir Girls iliyoko kaunti ya Narok imewatuma nyumbani wanafunzi wote baada ya kesi za usagaji kukithiri shuleni humo.

Kwa mujibu wa ripoti zilizowasilishwa kupitia gazeti la the Star, wanafunzi hasa wanaojiunga na sekondari wamekuwa wakilalamika kwa wazazi kwamba wanapigwa na wenzao wakuu kwa kukataa kujiunga na makundi ya wasagaji shuleni humo.

Aidha wazazi wameripoti kuwa wanafunzi walipewa uhuru kupita kiasi wakati wa likizo ya Pasaka, jambo ambalo lilichochea uovu huo wikiendi iliyopita.

"Watoto wetu wameripoti kupigwa na wenzao wa kugoma kuingia makundi ya wasagaji na pindi wanaporipoti kwa Walimu hakuna lolote linalofanyika zaidi ya kuambiwa kuwa hata wasagaji wanayo haki ya kupata elimu." Alielezwa mzazi mmoja.

Mkurugenzi wa elimu katika kaunti hio ya Narok Martin Cheruiyot amesema kwa wamefungua jalada la uchunguzi, alisema madai hayo ni mazito na yanastahili kuchukuliwa kwa uzito mkubwa.

"Hili Suala ni zito kwa kweli. Hatuna budi ila kuchukua hatua stahiki kabla hali kuwa mbaya hata zaidi." Amesema Martin Cheruiyot.

unnamed.jpg
 
Shule ya sekondari ya Noonkopir Girls iliyoko kaunti ya Narok imewatuma nyumbani wanafunzi wote baada ya kesi za usagaji kukithiri shuleni humo.

Kwa mujibu wa ripoti zilizowasilishwa kupitia gazeti la the Star, wanafunzi hasa wanaojiunga na sekondari wamekuwa wakilalamika kwa wazazi kwamba wanapigwa na wenzao wakuu kwa kukataa kujiunga na makundi ya wasagaji shuleni humo.

Aidha wazazi wameripoti kuwa wanafunzi walipewa uhuru kupita kiasi wakati wa likizo ya Pasaka, jambo ambalo lilichochea uovu huo wikiendi iliyopita.

"Watoto wetu wameripoti kupigwa na wenzao wa kugoma kuingia makundi ya wasagaji na pindi wanaporipoti kwa Walimu hakuna lolote linalofanyika zaidi ya kuambiwa kuwa hata wasagaji wanayo haki ya kupata elimu." Alielezwa mzazi mmoja.

Mkurugenzi wa elimu katika kaunti hio ya Narok Martin Cheruiyot amesema kwa wamefungua jalada la uchunguzi, alisema madai hayo ni mazito na yanastahili kuchukuliwa kwa uzito mkubwa.

"Hili Suala ni zito kwa kweli. Hatuna budi ila kuchukua hatua stahiki kabla hali kuwa mbaya hata zaidi." Amesema Martin Cheruiyot.

View attachment 2587591
Kwaiyo serikali imeona ikifunga shule ndo uchunguzi utaleta majibu sahihi?

Hapo shule ingeendelea kama kawaida then wakatumwa askari vibinti viende kufanya uchunguzi wakiwa kama wanafunzi i hope ndani ya mwezi tu watawapata wahusika ote na chain nzima ya huo mchezo.

Ila kusema wafunge shule then ndo wafanye uchunguzi hapo wanakuwa wanafanya probability
 
Back
Top Bottom