Shule za binafsi nyingi wameanza kidato cha tano, Je za serikali zimetupiliwa mbali?

mkulima gwakikolo

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
1,767
Reaction score
2,855
Wadau,

Inasikitisha. Watoto wa walala hoi mpaka leo wapo majumbani wakati wenzao wanakaribia kurudi likizo. Je, serikali ina dhamira gani?
 
Mbaya zaidi unasubiri post na haupati waweza jikuta mwaka unakata bila ya kufanya kitu
 
Jaman bado tupo kwenye mchakato wa kutangaza nia mambo mengi.
Post zenu ikiwezekana mwakan
ha!hahahaaa
 
Hii Serekali Saiv Iko Kichwa Chin Miguu Juu Hawajielewi Wamelewa Madaraka Imetawaliwa Na Ufisadi Kuliko Awamu Zote Its Time For Changes Now
 
cccm oyeee hata kwa bao LA mkono magogoni hyoo. amkeni vijana ccm inawazeesha kabla ya umri
 
Acha vjana wapge tuition, shulen nan akawafundishe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…