likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Hamjambo!
Mimi ni miongoni mwa vijana waliosoma shule za boarding za serikali kuanzia kidato cha 1 hadi 6
Nilimaliza kidato cha sita mwaka 2010 (shule zote ni boys)
Kama mnavyojua tena shule za boarding za serikali maharagwe ndiyo mboga kuu inayoliwa kwa wastani wa siku 6 kwa wiki.
Hali hii imenifanya niyachukie maharagwe kiasi kwamba hata ninapokwenda mgahawani ninagoma kabisa nisiwekewe maharagwe?
Je, wataalamu wa afya, hali hii kitaalamu inatokana na nini? Nifanyaje ili niwe na hamu ya kula maharagwe?
MUHIMU: Ustaarabu muhimu katika kushauri.
Cc. Sky Eclat
Mimi ni miongoni mwa vijana waliosoma shule za boarding za serikali kuanzia kidato cha 1 hadi 6
Nilimaliza kidato cha sita mwaka 2010 (shule zote ni boys)
Kama mnavyojua tena shule za boarding za serikali maharagwe ndiyo mboga kuu inayoliwa kwa wastani wa siku 6 kwa wiki.
Hali hii imenifanya niyachukie maharagwe kiasi kwamba hata ninapokwenda mgahawani ninagoma kabisa nisiwekewe maharagwe?
Je, wataalamu wa afya, hali hii kitaalamu inatokana na nini? Nifanyaje ili niwe na hamu ya kula maharagwe?
MUHIMU: Ustaarabu muhimu katika kushauri.
Cc. Sky Eclat