Mie sina taaluma ya ushauri wa kiafya na makulaji ila nachokuambia subiri utakapozunguka town na bahasha ya khaki kwa mwaka 1na nusu bila kazi hayo maharage utayaona matamu kama samaki changu au tasi!!!unless uwe mtoto wa kigogo unaetegemea kupachikwa mahali kiujanja ujanja.
sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app