Shule za kata na ukahaba

Shule za kata na ukahaba

Joined
Feb 8, 2012
Posts
92
Reaction score
9
Baadhi ya wanafunzi wa shule za kata wajihusisha na vitendo vya ngono ili kujikimu kimaisha kutokana kuishi gheto.

Taifa letu linaelekea wapi? Uhuru.
 
kama viongozi nao wanajikimu kwa kufanya ngono then what do u expect from wanafunzi??

Yaani hakuna cha kushangaa hapo huo ndo mtindo wa maisha yetu and life goes on.
 
Haya mambo mengine nadhani ni tabia za watu tu. Kwanza wazazi na walezi ndio wanapaswa kuwa karibu na watoto wao wakiwasaidia kwa ukaribu ili wapate elimu bora.

Serikali haiwezi kufanikishi huduma zote za kumwezesha mwanafunzi kupata elimu bora kwa wakati mmoja.

Waalimu, maabara, maktaba nk. Haya yote ni misalaba ya serikali.
 
Haya mambo ya ukahaba wapo wengine hata wakiwa nyumban wanafanya japo kuwa ukiangalia unaweza kusema kuwa waliopo geto ndio victim zaid.

Mimi sioni kama tatizo la ngono ni la mwanafunzi wa geto tu bali ni wa aina yyte ile. Cha msingi ni kwamba maadili yameporomoka, nani wa kuonya? Mwalim imefika mahali wanashndwa kusema lolote manake ukisema hupati sapoti ya mzazi matokeo yake unafundisha darasana tu ya nidham unamwachia mtoto na mzazi wake.

Lakini pia ikumbukwe ni ngumu sana kutenga kati ya nidhamu na academic excellency. Mara nyingi sana nidham nzuri kwa mwanafunzi humfanya akafaulu hvyo pia ni changamoto sana kwa ufaulu wa wanafunzi wa leo.
 
Ndiyo madhara ya utandawazi, ni population nzima imeconcentrate kwenye ngono sio wanafunzi tu, wala sio suala la kujikimu.

Hata wanandoa wapo bize kutafutana kwenye simu ukiona anaongea na simu meno nje, ujue anawasiliana na hawala yake.
 
MaRK THIS
Ndiyo madhara ya utandawazi, ni population nzima imeconcentrate kwenye ngono sio wanafunzi tu, wala sio suala la kujikimu. Hata wanandoa wapo bize kutafutana kwenye simu ukiona anaongea na simu meno nje, ujue anawasiliana na hawala yake.
 
Ndiyo madhara ya utandawazi, ni population nzima imeconcentrate kwenye ngono sio wanafunzi tu, wala sio suala la kujikimu. Hata wanandoa wapo bize kutafutana kwenye simu ukiona anaongea na simu meno nje, ujue anawasiliana na hawala yake.

hahahaaaaa
 
kwa hyo serikali unataka ikufanyie nini labda. unataka kila shule ya kata iwe bodin skul? wakat mwingine usianze na kiroba
 
kwa hyo serikali unataka ikufanyie nini labda. unataka kila shule ya kata iwe bodin skul? wakat mwingine usianze na kiroba

we ndo umeanza na kiroba,yawezekana hata hujaelewa kilichozungumzwa....kwan mwenzako ameitaja serikal hapo?
 
Back
Top Bottom