opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 9
Ndiyo madhara ya utandawazi, ni population nzima imeconcentrate kwenye ngono sio wanafunzi tu, wala sio suala la kujikimu. Hata wanandoa wapo bize kutafutana kwenye simu ukiona anaongea na simu meno nje, ujue anawasiliana na hawala yake.
Ndiyo madhara ya utandawazi, ni population nzima imeconcentrate kwenye ngono sio wanafunzi tu, wala sio suala la kujikimu. Hata wanandoa wapo bize kutafutana kwenye simu ukiona anaongea na simu meno nje, ujue anawasiliana na hawala yake.
kwa hyo serikali unataka ikufanyie nini labda. unataka kila shule ya kata iwe bodin skul? wakat mwingine usianze na kiroba
we ndo umeanza na kiroba,yawezekana hata hujaelewa kilichozungumzwa....kwan mwenzako ameitaja serikal hapo?