Shule za Msingi za Serikali mitihani ni mingi, Serikali ijitathmini

Shule za Msingi za Serikali mitihani ni mingi, Serikali ijitathmini

BOB LUSE

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
3,738
Reaction score
3,199
Shule za Msingi Kuna mitihani mingi sana Kwa madarasa ya 4 na 7 Mfano mock, Wanafanya Mock Kabla ya mwezi wa Tano, watafanya Tena Kabla ya mwezi wa nane, Wana mitihani ya kata, mitihani ya wilaya, Wana mitihani ya Kess, Mitihani ya Mofety. (Taasisi binafsi zimeruhusiwa kuuza kutunga na kuuza mitihani mashuleni.

Ukiangalia shule za kimataifa hawana utitiri wa mitihani kama hiyo, na Watoto wanafanya vizuri na Wana uelewa mkubwa Kuliko Hawa wa Shule za mtaala wa Serikali.

Mitihani sio kigezi Cha kuelewa vitu, wako wengi waliofaulu mitihani lakini kazini hawana tija. Kuna nchi za ulaya hawana mitihani kabisa,Bado Wana maendeleo Kuliko yetu. Mitihani hiyo gharama zinabebeshwa Wazazi.sio jambo zuri,kutoa ajira Kwa Taasisi zipime Watoto wakati hazihusiki kuwafundisha, Elimu ni huduma sio Biashara ya kunufaisha wachache.

Mtoto Ili ajitafute na kuwa mbunifu asijaziwe vitu vingi.
 
Kwanza ujue elimu yetu ni ya kuklemisha, pili watoto wetu wakiwa huko hawajui kujisomea ni nini(wengi hawajisomei), wazazi hatufuatilii kabisa.
,
Mitihani ya mara kwa mara ni muarobaini wa vyote..ni revision ya lazima, hofu ya pepa inapotea, Nipo shule ya msingi, ilikuwa tunagonga pepa kila j1 na mara nyingine j5, ashukuriwe mwalimu zanny, kurasini primary school, sijui siku hizi atakuwa wapi yule muhuni.

Kina mabeyo, kabenanga, mwl majura, mwl peter, madam william na wengine wengi.. Nilijikuta elimu ya msingi natoka nondo saana.
 
Kwanza ujue elimu yetu ni ya kuklemisha, pili watoto wetu wakiwa huko hawajui kujisomea ni nini(wengi hawajisomei), wazazi hatufuatilii kabisa.
,
Mitihani ya mara kwa mara ni muarobaini wa vyote..ni revision ya lazima, hofu ya pepa inapotea, Nipo shule ya msingi, ilikuwa tunagonga pepa kila j1 na mara nyingine j5, ashukuriwe mwalimu zanny, kurasini primary school, sijui siku hizi atakuwa wapi yule muhuni.

Kina mabeyo, kabenanga, mwl majura, mwl peter, madam william na wengine wengi.. Nilijikuta elimu ya msingi natoka nondo saana.
Umeongea point kubwa sana mkuu. Mitihani ya mara kwa mara inawasaidia sana wanafunzi.
 
Shule za Msingi Kuna mitihani mingi sana Kwa madarasa ya 4 na 7 Mfano mock, Wanafanya Mock Kabla ya mwezi wa Tano, watafanya Tena Kabla ya mwezi wa nane, Wana mitihani ya kata, mitihani ya wilaya, Wana mitihani ya Kess, Mitihani ya Mofety. (Taasisi binafsi zimeruhusiwa kuuza kutunga na kuuza mitihani mashuleni.

Ukiangalia shule za kimataifa hawana utitiri wa mitihani kama hiyo, na Watoto wanafanya vizuri na Wana uelewa mkubwa Kuliko Hawa wa Shule za mtaala wa Serikali.

Mitihani sio kigezi Cha kuelewa vitu, wako wengi waliofaulu mitihani lakini kazini hawana tija. Kuna nchi za ulaya hawana mitihani kabisa,Bado Wana maendeleo Kuliko yetu. Mitihani hiyo gharama zinabebeshwa Wazazi.sio jambo zuri,kutoa ajira Kwa Taasisi zipime Watoto wakati hazihusiki kuwafundisha, Elimu ni huduma sio Biashara ya kunufaisha wachache.

Mtoto Ili ajitafute na kuwa mbunifu asijaziwe vitu vingi.
Mitihani si ndio mizuri sasa mkuu? Wewe upo kinyume
 
Back
Top Bottom