Shule zageuka mabanda ya kuku huko Kenya

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Eiiiiiiiiiii kume kuchaaaaaaa, baada ya wamiliki wa malls ku auction maduka ya wateja wao sasa bwana wenye shule wanaibuka na kali ya karne.

 
Lastly Magufuli anaanza kumake sense baada ya mabeberu kuwapotezea matumani

Yaani wakenya ni vichaa na malimbukeni
 
Eiiiiiiiiiii kume kuchaaaaaaa, baada ya wamiliki wa malls ku auction maduka ya wateja wao sasa bwana wenye shule wanaibuka na kali ya karne.

Fursa, ndo nacho wapendea kunyans. Sasa soko lipo? Maana pepple are not working, where will they get costumers?
 
Teh teh tihiii

Ujasili wa kupata mali.
 
Fursa, ndo nacho wapendea kunyans. Sasa soko lipo? Maana pepple are not working, where will they get costumers?
Nani hao hawako kazi Kenya?
Walimu pekee ndio wako nyumbani sahii,
Kwingine kote vitu ziko kawaida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…