shule zetu bwana

Chiwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2008
Posts
4,116
Reaction score
4,979
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD="width: 295"] Academy
[/TD]
[TD="width: 295"] St kayumba
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Anaamka asubuhi na kupanda basi la shule au usafiri wa familia
[/TD]
[TD="width: 295"] Anapewa nauli au anatembea kwa miguu
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Achapwi viboko
[/TD]
[TD="width: 295"] Viboko vipo vya kishkaji
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Shule ya awali wanatoka saa tisa na wana muda wa kulala shule na anamasomo mengi yasiyo na msingi
[/TD]
[TD="width: 295"] Wanatoka saa tano kula kwenu wana muda mzuri wa kucheza na watoto wenzao mtaani masomo matatu tu ya msingi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Wakirudi wanaangalia katuni
[/TD]
[TD="width: 295"] Wanaosha vyombo na shughuli zingine za nyumbani
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Home work wanafanyiwa na wazazi
[/TD]
[TD="width: 295"] Wanafanya wenyewe
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Hawana muda na kuwajua watoto wa majirani na wanakatazwa kucheza nao watafundishwa tabia mbaya
[/TD]
[TD="width: 295"] Wanajiachia kwa rafiki zao na wanajulikana mtaa mzima
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Wanafundishwa ubinafsi ikiwa ni pamoja na kula kivyao chakula kwenye hotpot
[/TD]
[TD="width: 295"] Wana kaa pamoja familia nzima pamoja na wazazi
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Familia iko bize hawana muda wa kujua mabadiliko ya watoto na wengi wanategemea malezi ya wasaidizi wa kazi na waalimu shule
[/TD]
[TD="width: 295"] Mzazi anaweza kuwa na nafasi ya kumvuatilia mtoto hasa mama
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Hawana uwezo mkubwa wa kumudu mazingira mapya
[/TD]
[TD="width: 295"] Wanauwezo wa kujifunza haraka mazingira mapya 9wanaweza kujitegemea)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Wanakunywa maziwa, wanatumia vyoo vizuri wanauhakika wa maji safi lakini wanaongoza kwa vidonda vya tumbo uti, homa za matumbo nk
[/TD]
[TD="width: 295"] Wako fit wanasumbuliwa na malaria hawana vidonda vya tumbo japo hawanywi maziwa
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 295"] Waoga si ajabu ukakutana na mtoto wa darasa la tano hawezi kuvuka barabara
[/TD]
[TD="width: 295"] Wanajiamini na ni wabishi
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
hahahahaahaah
haya maisha bwana sina la kuongeza
 
Yupo dogo mmoja form four St. Something mkoani Arusha,hawezi kwenda mjini peke yake hadi asindikizwe.Kuvuka barabara shida.Watoto mayai noma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…