Jamani pamoja na hali halisi ya shule zetu za msingi kama picha inayo onyesha hapo chini, bado wabunge wetu wanalipana mshahara wa mwezi milioni 7 bila kodi, mshahara ambao unaweza kujenga darasa moja likaisha. Picha hii inaonyesha Wanafunzi wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Bombo Mtoni iliyopo Kata ya Mashewa Wilayani Korogwe, Tanga wakimsikiliza mwalimu wao.
Inasemekana darasa hili huweza kuchukua wanafunzi wa darasa la nne 45 kwa wakati mmoja.
source: Majira ya leo
Inasemekana darasa hili huweza kuchukua wanafunzi wa darasa la nne 45 kwa wakati mmoja.
source: Majira ya leo
Last edited: