Umenisikia na huo ndio ukweli, kuna siku nikipata nafasi nitachambua the current paradigm shift ya focus ya elimu yetu kuanzia kindergarten to Universities madhara yake tunayayaona leo na tutakayopata miaka ijayo.
Ni kweli kabisa focus ya shule zetu hasa hizi za English medium na ndizo zilizo nyingi, kwanza ni kumuwezesha mwanafunzi aweze kuandika na kuongea Kiingereza vizuri ili wazazi wafurahi, na cha pili ni kumkalilisha day and night huyu mwanafunzi aweze kumeza na kujua namna ya kujibu maswali ya mitihani ya mwisho ili shule ipate ufaulu mzuri, mwisho wa siku kuweza kuenroll wanafunzi wengi, ni biashara tu.
Contrary, shule zetu zilitakiwa kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufikiri (critical thinking ability) ,kuwajengea wanafunzi uwezo wa kupambanua mambo na kuwa na uwezo wa kusolve issues na problems tunazokutana nazo katika jamii.
Ni kweli ukisikiliza kizazi cha sasa jinsi wanavyojenga hoja unaweza ukazimia; ofcourse ni wazuri kwenye hoja za mipira, betting na muziki, vitu vya kawaida kabisa. Kibaya huo uwezo mdogo unaonekana hata kwenye interviews ambayo mara nyingi ni entry point ya employment au kwenye kunegotiate terms za business ambayo ni entry point ya kubargain na kugain profits. Kwa uzoefu wangu interviewees wengi wana uwezo mzuri wa kuongea kiingereza kizuri tena cha Queen Elizabeth naongelea wale wa english medium na international schools, lakini content hakuna kabisa, ukiwapima their skills na competency zao ni zero, ni watupu kabisaaa.
Remember, employers care about the content and depth of your knowledge and understanding , they care about your skills and competency level, uwezo wa kuongea lugha nzuri ni kigezo cha mwisho labda kwenye journalism hata huko thinking na knowledge is still critical. Hata kwenye business we care about your critical thinking and your ability to negotiate terms and solving expected business challenges to maximize the profits.
Ni wakati sasa education system yetu iweze kufocus kubuild critical thinking, skills and competency ya watoto wetu ili kutoa vijana watakao peleka uchumi wetu kwenye hatua nyingine la sivyo kuna mtu alisema tutakuja kutawaliwa siku moja.
Wajibu huu ni wajibu wa Serikali, kuna vitu serikali inaweza kuviachia free market iweze kudetermine the direction lakini vingine lazima viwe controlled kama hili la elimu. Kuacha soko liendeshe elimu yetu ni sawa na kujichimbia kaburi sisi wenyewe.
Ni kweli kabisa focus ya shule zetu hasa hizi za English medium na ndizo zilizo nyingi, kwanza ni kumuwezesha mwanafunzi aweze kuandika na kuongea Kiingereza vizuri ili wazazi wafurahi, na cha pili ni kumkalilisha day and night huyu mwanafunzi aweze kumeza na kujua namna ya kujibu maswali ya mitihani ya mwisho ili shule ipate ufaulu mzuri, mwisho wa siku kuweza kuenroll wanafunzi wengi, ni biashara tu.
Contrary, shule zetu zilitakiwa kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufikiri (critical thinking ability) ,kuwajengea wanafunzi uwezo wa kupambanua mambo na kuwa na uwezo wa kusolve issues na problems tunazokutana nazo katika jamii.
Ni kweli ukisikiliza kizazi cha sasa jinsi wanavyojenga hoja unaweza ukazimia; ofcourse ni wazuri kwenye hoja za mipira, betting na muziki, vitu vya kawaida kabisa. Kibaya huo uwezo mdogo unaonekana hata kwenye interviews ambayo mara nyingi ni entry point ya employment au kwenye kunegotiate terms za business ambayo ni entry point ya kubargain na kugain profits. Kwa uzoefu wangu interviewees wengi wana uwezo mzuri wa kuongea kiingereza kizuri tena cha Queen Elizabeth naongelea wale wa english medium na international schools, lakini content hakuna kabisa, ukiwapima their skills na competency zao ni zero, ni watupu kabisaaa.
Remember, employers care about the content and depth of your knowledge and understanding , they care about your skills and competency level, uwezo wa kuongea lugha nzuri ni kigezo cha mwisho labda kwenye journalism hata huko thinking na knowledge is still critical. Hata kwenye business we care about your critical thinking and your ability to negotiate terms and solving expected business challenges to maximize the profits.
Ni wakati sasa education system yetu iweze kufocus kubuild critical thinking, skills and competency ya watoto wetu ili kutoa vijana watakao peleka uchumi wetu kwenye hatua nyingine la sivyo kuna mtu alisema tutakuja kutawaliwa siku moja.
Wajibu huu ni wajibu wa Serikali, kuna vitu serikali inaweza kuviachia free market iweze kudetermine the direction lakini vingine lazima viwe controlled kama hili la elimu. Kuacha soko liendeshe elimu yetu ni sawa na kujichimbia kaburi sisi wenyewe.