Bora umwambie, ilibidi asome concept nzima na sentensi ilivyokaa, sentensi imekaa kiwingi nisingesema "kiingereza," na neno "viingereza" halipo au halijatumika kuelezea wingi tu bali linajaribu kufifisha umuhimu wa hiyo lugha kama tunavyofikiri ndicho kigezo cha kwanza. Nasema kufifisha kulingana na muktadha wa kinachojadiliwa. Sijasema kuondoa kabisa umuhimu wa kiingereza kwani lugha hii hahiepukiki, humu kuna vichwa vingine ni pasua kichwa. AhhhhhhhHilo neno kalipatia mahali pake haswa kwenye muktadha wa kile kinachojadiliwa.
Unaonekana kupwaya sana wewe.
Kweli kabisa, naunga mkono hoja. Ingawa kuna sababu nyingi pia walimu ni sababu muhimu sana kwenye kueleta hii sintofahamuSystem yetu ya elimu ni kama ile ya muingereza, amerika and western Europe in general na gunduzi za kisayansi nyingi those that involve critical thinking zinatoka kwa system ya elimu kama ya kwetu. Tujiulize sisis tunakwama wapi?
Teaching /teachers ndio wabovu.Kuna concepts ambazo nilifundishwa O level na A level, zilinipa tabu sana kuzielewa. sasa naona kabisa kuwa tatizo lilikuwa kwa walimu, maana nawafundisha watoto wangu wanaelewa vema kabisa bila shida....difficult concepts to grasp, those needing thinking in abstract, wanazielewa kirahisi!
Well saidExtremely sad. We don't equip our kids with glogally demanded skills. Kiingereza is just one of those shits. Tunaamini katika yasiyoaminika.
If the kids have to master language, then they must go for a combination of many different languages, including Kiswahili. Kiingereza peke yake ni kujifunza ubabaishaji na kufikiria kuna mtu atajali.
Spain, Germany, France, Portugal, Russia, China etc have their own languages. It matters to them if you can communicate fluently in their mother tongue.
Waingereza wametuifunisha ubabaishaji na bado hatujachomoka
You're being delusional. Jamii yoyote ambayo lugha yake imestawi, kwa kawaida na mafanikio yake yako juu.Language inakusaidia kuwaelewa na watu kukuelewa, haikusaidii kufikiria.
Umenisikia na huo ndio ukweli, Kuna siku nikipata nafasi nitachambua the current paradigm shift ya focus ya elimu yetu kuanzia kindergarten to Universities madhara yake tunayayaona leo na tutakayopata miaka ijayo.
Ni kweli kabisa focus ya shule zetu hasa hizi za English medium na ndizo zilizo nyingi, kwanza ni kumuwezesha mwanafunzi aweze kuandika na kuongea kiingereza vizuri ili wazazi wafurahi, na cha pili ni kumkalilisha day and night huyu mwanafunzi aweze kumeza na kujua namna ya kujibu maswali ya mitihani ya mwisho ili shule ipate ufaulu mzuri, mwisho wa siku kuweza kuenroll wanafunzi wengi, ni biashara tuuuuu.
Contrary, shule zetu zilitakiwa kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufikiri (critical thinking ability) ,kuwajengea wanafunzi uwezo wa kupambanua mambo na kuwa na uwezo wa kusolve issues na problems tunazokutana nazo katika jamii.
Ni kweli ukisikiliza kizazi cha sasa jinsi wanavyojenga hoja unaweza ukazimia; ofcourse ni wazuri kwenye hoja za mipira, betting na muziki, vitu vya kawaida kabisa. Kibaya huo uwezo mdogo unaonekana hata kwenye interviews ambayo mara nyingi ni entry point ya employment au kwenye kunegotiate terms za business ambayo ni entry point ya kubargain na kugain profits. Kwa uzoefu wangu interviewees wengi wana uwezo mzuri wa kuongea kiingereza kizuri tena cha Queen Elizabeth naongelea wale wa english medium na international schools, lakini content hakuna kabisa, ukiwapima their skills na competency zao ni zero, ni watupu kabisaaa.
Remember, employees care about the content and depth of your knowledge and understanding , they care about your skills and competency level, uwezo wa kuongea lugha nzuri ni kigezo cha mwisho labda kwenye journalism hata huko thinking na knowledge is still critical. Hata kwenye business we care about your critical thinking and your ability to negotiate terms and solving expected business challenges to maximize the profits.
Ni wakati sasa education system yetu iweze kufocus kubuild critical thinking, skills and competency ya watoto wetu ili kutoa vijana watakao peleka uchumi wetu kwenye hatua nyingine la sivyo kuna mtu alisema tutakuja kutawaliwa siku moja.
Wajibu huu ni wajibu wa Serikali, kuna vitu serikali inaweza kuviachia free market iweze kudetermine the direction lakini vingine lazima viwe controlled kama hili la elimu. Kuacha soko liendeshe elimu yetu ni sawa na kujichimbia kaburi sisi wenyewe.
Au ung'eng'eNgeli a.k.a kimombo
Inaonekana definition ya kufikiri nayo inakupa tabu. Na pengine mada hujaielewa. The context hapa ni English language vs critical thinking. You dont need English language mastery to critically think.You're being delusional. Jamii yoyote ambayo lugha yake imestawi, kwa kawaida na mafanikio yake yako juu.
Huwezi kamwe kutenganisha ubobevu wa lugha na uwezo wa kufikiri.
Never forget that we think (and eventually act) in terms of expressions called words.
Rudimentary language means crude social, political, economic and religious advancement.
The Jewish system had for very long been the best thanks to their singular dedication to Hebrew language.
HUJUI KUWA KUNA TOFAUTI YA MAHARI NA MAHALI? NA HUJUI HATA MAANA INABADILIKA? BASI TATIZO LAKO NI KUBWA ZAIDI KULIKO NLIVYODHANI.Kamanda nakushauri uweze ku-focus kwenye content na mtiririko wa logic, achana na grammar, mwandiko au misamiati, hapa hatuko darasani au kwenye mitiani. cha muhimu ni je umeelewa hoja ya mandishi.
Mleta mada kama lengo lako ni kuonyesha mapungufu ya mfumo wetu wa elimu katika kujenga misingi ya maarifa, ujuzi, uelewa na weledi (knowledge, skills, competency) BASI unaharibu sana hii mada kwa kuingiza suala la Kiingereza.Umenisikia na huo ndio ukweli, kuna siku nikipata nafasi nitachambua the current paradigm shift ya focus ya elimu yetu kuanzia kindergarten to Universities madhara yake tunayayaona leo na tutakayopata miaka ijayo.
Ni kweli kabisa focus ya shule zetu hasa hizi za English medium na ndizo zilizo nyingi, kwanza ni kumuwezesha mwanafunzi aweze kuandika na kuongea Kiingereza vizuri ili wazazi wafurahi, na cha pili ni kumkalilisha day and night huyu mwanafunzi aweze kumeza na kujua namna ya kujibu maswali ya mitihani ya mwisho ili shule ipate ufaulu mzuri, mwisho wa siku kuweza kuenroll wanafunzi wengi, ni biashara tu.
Contrary, shule zetu zilitakiwa kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufikiri (critical thinking ability) ,kuwajengea wanafunzi uwezo wa kupambanua mambo na kuwa na uwezo wa kusolve issues na problems tunazokutana nazo katika jamii.
Ni kweli ukisikiliza kizazi cha sasa jinsi wanavyojenga hoja unaweza ukazimia; ofcourse ni wazuri kwenye hoja za mipira, betting na muziki, vitu vya kawaida kabisa. Kibaya huo uwezo mdogo unaonekana hata kwenye interviews ambayo mara nyingi ni entry point ya employment au kwenye kunegotiate terms za business ambayo ni entry point ya kubargain na kugain profits. Kwa uzoefu wangu interviewees wengi wana uwezo mzuri wa kuongea kiingereza kizuri tena cha Queen Elizabeth naongelea wale wa english medium na international schools, lakini content hakuna kabisa, ukiwapima their skills na competency zao ni zero, ni watupu kabisaaa.
Remember, employers care about the content and depth of your knowledge and understanding , they care about your skills and competency level, uwezo wa kuongea lugha nzuri ni kigezo cha mwisho labda kwenye journalism hata huko thinking na knowledge is still critical. Hata kwenye business we care about your critical thinking and your ability to negotiate terms and solving expected business challenges to maximize the profits.
Ni wakati sasa education system yetu iweze kufocus kubuild critical thinking, skills and competency ya watoto wetu ili kutoa vijana watakao peleka uchumi wetu kwenye hatua nyingine la sivyo kuna mtu alisema tutakuja kutawaliwa siku moja.
Wajibu huu ni wajibu wa Serikali, kuna vitu serikali inaweza kuviachia free market iweze kudetermine the direction lakini vingine lazima viwe controlled kama hili la elimu. Kuacha soko liendeshe elimu yetu ni sawa na kujichimbia kaburi sisi wenyewe.
Nimekuelewa kabisa mtoa hoja, ni kweli wakati wa kujadili hoja hii lazima tuwe makini kwani halikuwa lengo langu kuhusisha ujuzi, uelewa na Kiingereza. Ni ukweli kabisa masterly of language, proficiency kwenye lugha kunamuwezesha mtaalamu kuweza kuarticulate issue vizuri. Mimi nilikuwa naongelea mfumo wa sasa wa elimu jinsi unavyomislead muono wa nini cha kuconcetrate. Mimi nafikiri lugha hisiwe ndiyo kipaumbele cha kwanza, ujuzi, maarifa na competency ni priority namba moja.Mleta mada kama lengo lako ni kuonyesha mapungufu ya mfumo wetu wa elimu katika kujenga misingi ya maarifa, ujuzi, uelewa na weledi (knowledge, skills, competency) BASI unaharibu sana hii mada kwa kuingiza suala la Kiingereza.
Kwanza uwezo wa Kiingereza kwa wasomi wengi hapa nchini ni JANGA. Na unaendelea kudidimia. Usihangaike na shule za msingi na sekondari. Vyuoni tu hakufurahishi. Tuweke kando hili.
Kumezuka mchezo wa kuona suala la elimu kuwa ni mpambano wa Ujuzi vs Kiingereza. Watu wanajadili eti tuchague: ama tuweke mkazo kwenye kufundisha ujuzi au tuendelee kupoteza muda na Kiingereza! Hii mada nayo ina mwelekeo huo. Hilo ni kosa.
Kilicho dhahiri ni kuwa mfumo mzima wa elimu umeharibika kiasi kwamba haumuwezeshi mwanafunzi kupata ujuzi na weledi wa kitaaluma. Hata ujuzi wa lugha kwa ujumla umekuwa tatizo. Sio Kiingereza tu. Kiswahili nacho kinazidi kuwa ovyo. Hilo ndilo tatizo la kuzungumziwa na kutafutiwa ufumbuzi. Na usijidanganye kuwa Kiingereza kikiachwa basi jibu litapatikana.
Kifupi usilifanye kuwa tatizo la ujuzi vs Kiingereza. Acha wenye propaganda zao za kisiasa waendelee kudanganya wasiojielewa kuwa Kiingereza ndio tatizo.
Mfumo wa Elimu nchini Tanzania umevurugwa vya kutosha kabisa na Wanasiasa katika nchi hii.Umenisikia na huo ndio ukweli, kuna siku nikipata nafasi nitachambua the current paradigm shift ya focus ya elimu yetu kuanzia kindergarten to Universities madhara yake tunayayaona leo na tutakayopata miaka ijayo.
Ni kweli kabisa focus ya shule zetu hasa hizi za English medium na ndizo zilizo nyingi, kwanza ni kumuwezesha mwanafunzi aweze kuandika na kuongea Kiingereza vizuri ili wazazi wafurahi, na cha pili ni kumkalilisha day and night huyu mwanafunzi aweze kumeza na kujua namna ya kujibu maswali ya mitihani ya mwisho ili shule ipate ufaulu mzuri, mwisho wa siku kuweza kuenroll wanafunzi wengi, ni biashara tu.
Contrary, shule zetu zilitakiwa kuwajengea wanafunzi uwezo wa kufikiri (critical thinking ability) ,kuwajengea wanafunzi uwezo wa kupambanua mambo na kuwa na uwezo wa kusolve issues na problems tunazokutana nazo katika jamii.
Ni kweli ukisikiliza kizazi cha sasa jinsi wanavyojenga hoja unaweza ukazimia; ofcourse ni wazuri kwenye hoja za mipira, betting na muziki, vitu vya kawaida kabisa. Kibaya huo uwezo mdogo unaonekana hata kwenye interviews ambayo mara nyingi ni entry point ya employment au kwenye kunegotiate terms za business ambayo ni entry point ya kubargain na kugain profits. Kwa uzoefu wangu interviewees wengi wana uwezo mzuri wa kuongea kiingereza kizuri tena cha Queen Elizabeth naongelea wale wa english medium na international schools, lakini content hakuna kabisa, ukiwapima their skills na competency zao ni zero, ni watupu kabisaaa.
Remember, employers care about the content and depth of your knowledge and understanding , they care about your skills and competency level, uwezo wa kuongea lugha nzuri ni kigezo cha mwisho labda kwenye journalism hata huko thinking na knowledge is still critical. Hata kwenye business we care about your critical thinking and your ability to negotiate terms and solving expected business challenges to maximize the profits.
Ni wakati sasa education system yetu iweze kufocus kubuild critical thinking, skills and competency ya watoto wetu ili kutoa vijana watakao peleka uchumi wetu kwenye hatua nyingine la sivyo kuna mtu alisema tutakuja kutawaliwa siku moja.
Wajibu huu ni wajibu wa Serikali, kuna vitu serikali inaweza kuviachia free market iweze kudetermine the direction lakini vingine lazima viwe controlled kama hili la elimu. Kuacha soko liendeshe elimu yetu ni sawa na kujichimbia kaburi sisi wenyewe.
Kabisa, mimi kwa uzoefu wangu badala ya kukusanyika wataalamu walewale waliotupoteza miaka na miaka waangalie njia nyingine na watu wengine ili wapate mawazo mapya na kusave ghalama.Mfumo wa Elimu nchini Tanzania umevurugwa vya kutosha kabisa na Wanasiasa katika nchi hii.
Unapaswa kubadilishwa wote kabisa.
Kwa sasa nchi hii inapaswa kujikita zaidi kwenye suala la Elimu ya Sayansi na Teknolojia ili Taifa letu liweze kusonga mbele. Mitaala yote kabisa ya Elimu kwa Sasa inapaswa ibadilishwe ili kuanzisha Mitaala Mipya yenye mlengo wa Sayansi na Teknolojia, mkazo mkubwa zaidi uelekezwe kwenye Elimu ya Vitendo yaani Vocational training (Competency Based Education System)
Nimekuelewa kabisa mtoa hoja, ni kweli wakati wa kujadili hoja hii lazima tuwe makini kwani halikuwa lengo langu kuhusisha ujuzi, uelewa na Kiingereza. Ni ukweli kabisa masterly of language, proficiency kwenye lugha kunamuwezesha mtaalamu kuweza kuarticulate issue vizuri. Mimi nilikuwa naongelea mfumo wa sasa wa elimu jinsi unavyomislead muono wa nini cha kuconcetrate. Mimi nafikiri lugha hisiwe ndiyo kipaumbele cha kwanza, ujuzi, maarifa na competency ni priority namba moja.
Hakuna sehemu yeyote nimebeza umuhimu wa Kiingereza, Mimi ni mmoja wa victim niliyekuwa affected negetively na kutokujua kiingereza na jinsi ilivyoniathiri kimasomo O and A level pamoja na chuo kikuu.
Hata baada ya kugraduate lugha iliendelea kuniathiri kwenye efficiency ya kazi zangu ingawa nilikuwa mbishi na maanisha mikwara ya lugha ila internally nilikuwa najua nina gaps nyingi hasa kwenye grammar na pronounciation. Nakumbuka nikiwa internship nilijiapiza nitajitahidi nikachukue masomo yangu ya juu zaidi nje ya nchi na nilipigana kwelikweli,, sababu moja ni ili niweze kushape my english proficiency lakini nilitaka nipate new exposure.
For sure you cant run away from that language if you are planning to be profession in your area of focus.
Labda niseme ni kwa jinsi gani tunaweza kubalance priorities kati ya kuconcentrate kati ya lugha, skills and competency.
Ni kweli kabisa focus ya shule zetu hasa hizi za English medium na ndizo zilizo nyingi,