round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 345
- 1,145
Imekuwa ni kama fashini sasa
Mtoto mdogo kabisa mwenye miaka 9 au 12 anakuletea barua kutoka shuleni inasomeka mtoto aanze kwenda boarding kwasababu masomo yanaanza saa kumi na mbili asubuhi, kutoka hadi jioni saa 11, kuingia tena usiku saa moja hadi saa tatu na school bus haitaweza kutumika.
Huyu ni mtoto wa darasa la nne au la saba, kuna haja ya kukamia kiasi hiki ?
Huko shuleni kinachoendelea mzazi unaweza usijue chochote, matroni moja asimamie mamia ya watoto wapi na wapi ? matroni na yeye ana shughuli zake za mchana kujiongezea kipato, utampigia simu atakwambia mtoto anaendelea vizuri ilimradi alinde kazi yake.
watoto wapo bweni moja na wenzao wakubwa na kuna shule zina wanafunzi wa sekondari huwezi jua kinachoendelea.
Kuna kesi kadhaa huripotiwa za uonezi,
watoto wanapigwa na wanatishiwa wawe kimya
watoto wanaingiliwa mabafuni kinguvu (Kufir*a)
watoto wananjiingiza kwenye makubdi ya ajabu
n.k.
Shule zinachojali pesa imeingia, waongoze mitihani, n.k.
USHAURI
Ni muda umefika serikali iingilie kati shule zilazimishwe kufacilitate wanafunzi wa day na wa boarding
Mtoto mdogo kabisa mwenye miaka 9 au 12 anakuletea barua kutoka shuleni inasomeka mtoto aanze kwenda boarding kwasababu masomo yanaanza saa kumi na mbili asubuhi, kutoka hadi jioni saa 11, kuingia tena usiku saa moja hadi saa tatu na school bus haitaweza kutumika.
Huyu ni mtoto wa darasa la nne au la saba, kuna haja ya kukamia kiasi hiki ?
Huko shuleni kinachoendelea mzazi unaweza usijue chochote, matroni moja asimamie mamia ya watoto wapi na wapi ? matroni na yeye ana shughuli zake za mchana kujiongezea kipato, utampigia simu atakwambia mtoto anaendelea vizuri ilimradi alinde kazi yake.
watoto wapo bweni moja na wenzao wakubwa na kuna shule zina wanafunzi wa sekondari huwezi jua kinachoendelea.
Kuna kesi kadhaa huripotiwa za uonezi,
watoto wanapigwa na wanatishiwa wawe kimya
watoto wanaingiliwa mabafuni kinguvu (Kufir*a)
watoto wananjiingiza kwenye makubdi ya ajabu
n.k.
Shule zinachojali pesa imeingia, waongoze mitihani, n.k.
USHAURI
Ni muda umefika serikali iingilie kati shule zilazimishwe kufacilitate wanafunzi wa day na wa boarding
- Day - wawe wanafika shuleni saa moja, kusoma hadi jioni, baada ya hapo warudi kwao.
- Boarding - kuingia darasni saa 12 asubuhi (huwa wanaamshwa saa 11) 😞, wataungana na wenzao wa day saa moja hadi jioni, kisha wataendelea na ratiba za usiku.