Hivi unajisikia nimilike comment yako..malizia ndovu zakoo
MTawakukubaliana nae siwezi bamdogo nishamjibu hapo juu mm ni baby wa mtu
ebhuuu nachee na umelewa wewe sio bureeHivi unajisikia nimilike comment yako..
Notification ikiandika jina la uzi inaandika Transcend like your post in I LOVE YOU SHUNIE
Ataiweza mahariUkishakubaliana naye mlete nimuulize amejiandaaaje kukuchukua..
Toka kwenye huu uzi sasa..! Manake huna unalofanya la maana humu.ebhuuu nachee na umelewa wewe sio buree
Wapi Emmyta, Ukhuty na aganzaHivi unajisikia nimilike comment yako..
Notification ikiandika jina la uzi inaandika Transcend like your post in I LOVE YOU SHUNIE
Hahaha!na haya ya siku moja ...sijuii sasa wiki nzimaa
Ni kazi ngumu mno ndiyo maana Shedede huwa namwonea huruma sana. Nikipiga kampeni ili afukuzwe kazi watu huwa wananilaumu eti namwonea wivu kumbe mi najaribu kumsaidia.Hahahaa...
Unaambiwa kumlinda shunie jf ni sawa na kulinda vinu vya nyuklia mkuu..
Sasa sijui ni ukweli?
Sijui mkuu...Wapi Emmyta, Ukhuty na aganza
Hahaha!
Aisee watu watakuwa wanakusaidia..
Weee nenda porini tuu mkuu[emoji28]
Mimi sitaki...mtaishia kula kwa macho ...
Spare/kidumu??? Walau afarijikeeee dah, [emoji58]mm kuongea uongo siwezi
BBWs hawanaga mtimanyongo ujuehivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
kisa shunie nyote mmekimbilia ukuWapi Emmyta, Ukhuty na aganza
Acheni tu kibonge Shunie awatese kwa sababu hakuna namna. Mpaka waosha rungu wanasarenda unafikiri mchezo?BBWs hawanaga mtimanyongo ujue
Ila mwana akikomaa uenda akawin... Mamanz wanaoanzaga n kukataa direct dohh... Ngoja tuone nn mwshoAcheni tu kibonge Shunie awatese kwa sababu hakuna namna...
Hapana huku nimejikuta tu nipokisa shunie nyote mmekimbilia uku
[emoji3] [emoji23] [emoji23]Ila mwana akikomaa uenda akawin... Mamanz wanaoanzaga n kukataa direct dohh... Ngoja tuone nn mwsho
Japo mwana ana sura kam sanam ya mti wa mninga
DuhAcheni tu kibonge Shunie awatese kwa sababu hakuna namna...