Nimetaka kukuambia kna mtu anatumia ID yako[emoji85][emoji85]Ukishakubaliana naye mlete nimuulize amejiandaaaje kukuchukua..
Nawe pia dogo.Uwe na asubuhi njema sisy
Vumilia tuu shemu huniepresha tupuu
na aisema akianzishiwa thread kule ata sekunde haijaisha washafanya yao ...
Mwonee mtoto wa mwanamke mwenzio huruma kakaa nayo moyoni hadi kaamua kufungukahivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
Washel ni nini mkuu weka picha basi wengine ni wagenishunie anamumewe utafumiliwa washel
Hongera dhakokukubaliana nae siwezi bamdogo nishamjibu hapo juu mm ni baby wa mtu
Washel ni nini mkuu weka picha basi wengine ni wageni
Khaaa!! hiyo ni nut bhana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] makavu live and direct
Na kamkana mapema huko juu....Hahahaahhahahaahahahahaha
Wacha nifunge domo langu tu shoga
I'm speechless Yaniiiiii..