Shost Nani kamkana mwenzie?? Mpenda au mpendwa??Na kamkana mapema huko juu....
hivi hii ndio style yenu siku hizi
kaka asante ila umechelewa
Hujaona huko juu kabisa. Na huu uzi umemletea shida shunieShost Nani kamkana mwenzie?? Mpenda au mpendwa??
hahahaa....h unitakii mema wwNi kazi ngumu mno ndiyo maana Shedede huwa namwonea huruma sana. Nikipiga kampeni ili afukuzwe kazi watu huwa wananilaumu eti namwonea wivu kumbe mi najaribu kumsaidia.
tumia akili ww huyo mke wa mtu fyatu wwMm ni mgeni humu kwa hiyo nilipokuona tu moyo ukadundadunda,hata kama sio avatar yako kuna nguvu ya uvutano inanivuta kwako mamii wangu
In JF ukiamua kufanya yako,nyine fanyaneni tu...Nimesoma uzi na baadhi tu ya comments..
JF mbona kuharibiana kawaida watu wana vitimanyongo sijawahi ona asante mungu kwakweli nimepumua kidogo .
Cc Smart911
In JF ukiamua kufanya yako au kufanye yenyu nyie fanyaneni tu...
mahondaw wangu... Humu watu wanajiona wao ndiyo perfect na kukosoa wenzao kwa kila jambo..
That's my me, when it come about you mahondaw wangu.. No matter whatever anyone will say i never care...
No one has the right to judge anyone with his/her actions...
mmmmh shem darling kipenzii hatari sanaVumilia tuu shemu hunie
Hizo ni changamoto
Kamanda Fanya kazi hakotumia akili ww huyo mke wa mtu fyatu ww