Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Maswali ya form two haya ujuwe ShunieKuna nini
Sasa mm mwenyewe naingia std 7 week ijayoMaswali ya form two haya ujuwe Shunie
Ahahahahaha… Sakayo, una uhakika kweli hujasahau herufi "W" pahala katika hiyo sentensi yako..??Abeeeeeee
Halafu nilikuwa nalala eti
Kwa hiyo unajiona umeuza swali la mtu mzima form two ukijilinganisha na wewe LY wa wiki ijayo..!!?? AhahahahahaaaSasa mm mwenyewe naingia std 7 week ijayo
Ndiwoooooo nimeuliza swali la utu uzima sana [emoji23][emoji23]Kwa hiyo unajiona umeuza swali la mtu mzima form two ukijilinganisha na wewe LY wa wiki ijayo..!!?? Ahahahahahaaa
Ahahahahahahaha Form Two na wewe LY ya wiki ijayo wote maswali yenu ya watotoNdiwoooooo nimeuliza swali la utu uzima sana [emoji23][emoji23]
Hahahah tuwaaacheAhahahahahahaha Form Two na wewe LY ya wiki ijayo wote maswali yenu ya watoto
Mhogo wa Jang'ombeKuna nini
Ndio upoje huoMhogo wa Jang'ombe
Huu hapaNdio upoje huo
Weewee tu unaamua sasa... [emoji2][emoji2][emoji2]Kaka huyoooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] anamuuza mdogo wake
Ebu futa picha lako la matusi upoje lakini
Hiyo picha umeangalia vizuri Shunny?!?? Angalia tena mara ya pili, icho ni kidole gumba cha mguu kinauma na kucha imeoza ikatoka.Ebu futa picha lako la matusi upoje lakini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu uko na uongo wako kidole gani hikoHiyo picha umeangalia vizuri Shunny?!?? Angalia tena mara ya pili, icho ni kidole gumba cha mguu kinauma na kucha imeoza ikatoka.
NB ukimaliza kuangalia na ukagundua ni kidole jiulize matusi yako kichwani mwako au kwa mzeee Robot
Wallah angalia Picha vizuri Shunny, Sakayo njoo unisaidie[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ebu uko na uongo wako kidole gani hiko
@Demiss ukiwa na hangover huwa unatumia nini kuondoa?
Eti picha ya nn hiyo