Niambie shemeji yangu mwenye viwango vya TBS[emoji5]Shemuu
Antonio hajaja kutoa taarifa bado?Ahahahh akwambie vizuri tu cuzoo
Ukiona hivyo ujue watu tunajuana nje ya jfUpweke aujawai acha mtu salama,.. Unapendana na ID fake,.. Aseeh
Na shunie anakupenda wewe tu [emoji8]Anayempenda shunie
Namuona kwenye like tuAntonio hajaja kutoa taarifa bado?
Doh OK ...kwa iyo uko nje amkujuana ikatosha mkamia kabisa jfUkiona hivyo ujue watu tunajuana nje ya jf
Awww [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] love u lee wangu
Tafuta wako nawe ili mtutambie vizuri Kama@shunie na Lee......Shunie yupo vizuri, mi mwenyewe namzimikia, usijemuumiza, umtunze vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera shunie wa leeAwww [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] love u lee wangu
Asante mpenzi upo lakini NeyHongera shunie wa lee
Nipo mpenzi nilipotea kwa muda tuu tupo pamoja nowAsante mpenzi upo lakini Ney
Okay dear karibu hope tutaonana sanaNipo mpenzi nilipotea kwa muda tuu tupo pamoja now
Asanteh mpz tutaonana maeneo yetu ya kujidai [emoji6]Okay dear karibu hope tutaonana sana