Kumepooza siku hizi wote hampo jaman niliingia kam mara mbili tatu sijaingia tenaAsanteh mpz tutaonana maeneo yetu ya kujidai [emoji6]
Thread nyingi zilianzishwa kukuzungumzia wewe shunie ila na mimi ngoja niwe miongoni mwa waliofanya hivo japo yawezekana walikuwa hawajui wanachokifanya
Nafurahi jf hasa chit chart kunikutanisha na mwanamke huyu shunie umekuwa faraja kwangu nje na ndani ya JF...
Nina mengi ya kuandika kukuhusu wewe Shunie ila tambua NAKUPAENDA ...
Let's our love shine forever ....
Shunie huyo ndo shemeji???Kumepooza siku hizi wote hampo jaman niliingia kam mara mbili tatu sijaingia tena
Yaan itabidi turudi tuu hakuna namna, hata mimi nisipowaona huwa naskia uvivu najikuta nimelalaKumepooza siku hizi wote hampo jaman niliingia kam mara mbili tatu sijaingia tena
Ndio shemeji yako huyo KaboomShunie huyo ndo shemeji???
Acha tu kama hizo siku nilizoingia kumepooza sana mpenziYaan itabidi turudi tuu hakuna namna, hata mimi nisipowaona huwa naskia uvivu najikuta nimelala
Haya mama...Kila la kheriNdio shemeji yako huyo Kaboom
Itabid tuende sasa tukapachangamshe [emoji38]Acha tu kama hizo siku nilizoingia kumepooza sana mpenzi
Asante sana KaboomHaya mama...Kila la kheri
Ahahhah walikuepo wachache si mida yetu ileItabid tuende sasa tukapachangamshe [emoji38]
Kama nawaona wadau walivyokuwa wakipita kimya kimya
Asante mpenzi ahhah wenye wivu wakufwe kabisa
Nenda siasani jamani huku hautuhusu kabisaMkutano wa CHADEMA LEO WAMESEMAJE?
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Duh! PoabanaNenda siasani jamani huku hautuhusu kabisa