Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Tutakula mkuuSisi pilau tu ndo tunataka
[emoji3][emoji3][emoji3] tuache na mapenzi yetu ya cinema geni njo umuone kaka ako ni wivu auMapenzi ya cinema ni ya shunie na Lee
Naimba tu
eehh!!shemela huyu kaka bonny anamjua...?!!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nakutegemea ujue usiniangushe eenh nikwambie nini tena jaman
Sawa dada wa Mimi, hili ni bonge la surprise.Asante sana kaka akee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kaka bonny anamuonaga kwa mbali hatujawahi mtambulisha ujueeehh!!shemela huyu kaka bonny anamjua...?!!!!
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Asantee mmefanana majina jamanOngeraaa
Big surprise kaka ake acha tuSawa dada wa Mimi, hili ni bonge la surprise.
tena utulieee...sisi wa pwaniii!!!kuna msondo sie kwetu!!wafundwa mamaaaa...kimyaaaa!!Ahhahah sisi kimya kimya tu hakuna cha nini wala nini halaf nilijua tu lazima ungetokea hapa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
wewee imba tu ngoja ntie biti la kifilipiinooo[emoji3]Mapenzi ya cinema ni ya shunie na Lee
Naimba tu
Nitatulia dada geni jaman siwezi waangusha kabisa nawakilisha taifa letu ujuetena utulieee...sisi wa pwaniii!!!kuna msondo sie kwetu!!wafundwa mamaaaa...kimyaaaa!!
Kabisa kaka jose pambaneni tu na hali zenuAmbao hatuna wapenzi humu tujikaze na tupambane na hali zetu hamna namna...
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Tupo hapa mkuu