Fanya mpango sasa kambi ya makapera tuachie sisi makomandoo tutakuwakilisha we hamia idara ya usalama wa familia mkuu.utafanyaje sasa mkuu..inabidi tu ukodoe macho tu [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
Wivu sina ila roho inauma[emoji3][emoji3][emoji3] tuache na mapenzi yetu ya cinema geni njo umuone kaka ako ni wivu au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo mimi DilekeniWavuvi warudi mbio,na vyombo vimegongana,kuna papa usingizi jitahadharini vijana,papa limetoa penzi na mawimbi linatawanya,vidagaa na mkizi leo mtaliwa mnaona [HASHTAG]#pwani2pwani[/HASHTAG] Shunie upooo
Mmh nimeshawahiwa ndio mnaanza mashairi yenu mlikua wapi siku zoteNilikuwa nafanya warm up ili nijitose kwako,kumbe ushawahiwa!
Mkuu,Ambao hatuna wapenzi humu tujikaze na tupambane na hali zetu hamna namna...
Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
Weka ata la kimakondewewee imba tu ngoja ntie biti la kifilipiinooo[emoji3]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] sawaa...ila mwari wa mtu huyu tayariii...nikaushie basi nyakanga!
.uzi umehamia chit-chat!
Daah mkuu majanga...ngoja nitaanzisha na mimi kathread ka kumtafuta " Hawa" sijui nitampata?? kwa maana huu usingo noma sanaFanya mpango sasa kambi ya makapera tuachie sisi makomandoo tutakuwakilisha we hamia idara ya usalama wa familia mkuu.
[emoji3][emoji3][emoji3]hapo tutaelewana hata makaburi hayatafukuliwa tena
Pm ipi hiyo tenaNami mmojawapo,uwa sichezi mbali na pm ya bibie
[emoji3][emoji3][emoji3]pole sana...ulileta zile za muazima jamvi [emoji3] [emoji3]
chinjikuchinjilanaaa*2Weka ata la kimakonde
[emoji23][emoji23][emoji23]Fanya mpango sasa kambi ya makapera tuachie sisi makomandoo tutakuwakilisha we hamia idara ya usalama wa familia mkuu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Antonio pole sana geni ukuje kwa kaka akoWivu sina ila roho inauma
Hawajui Baba DSio kwelii make ufunguo ninao mm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Weka ata la kimakonde
Utampata kaka jose jamanDaah mkuu majanga...ngoja nitaanzisha na mimi kathread ka kumtafuta " Hawa" sijui nitampata?? kwa maana huu usingo noma sana
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk