[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji124] [emoji124] [emoji124]...!!kaka namuomba akae pembeni asubiri kupokea pesaUmemaliza nyakanga wa shunie kaka bonny kama anapita kimya kimya kama namuona anavyocheka ujue
shaurileeee huyo Antonioo...watu waleeee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wivu unamsumbua ujue Antonio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bonny ukuje jaman au hutaki mahari[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85] nyakanga ntakua nimefeli na ukungwi basi miyeee...
ila sishindwi mimi tutarudi hata kwetu na Simba mtoto....tukarekebishe nyotaa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Woyoooooooooooo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji113] [emoji113] [emoji113] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji124] [emoji124] [emoji124]...!!kaka namuomba akae pembeni asubiri kupokea pesa
bimdadaa namaliza kona zote
ntahakikisha mipira haiumi nondooo
yote inaingia wavuni tuuu....
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Antonio kama namuona [emoji3][emoji3]shaurileeee huyo Antonioo...watu waleeee....
warereeeeee!!!
geree mama gereee!!!
wacha ausage mtamaa antonio ataubwia mwenyeweeeeAntonio kama namuona [emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wacha ausage mtamaa antonio ataubwia mwenyeweeee
...Simba Mtoto![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji85] nyakanga ntakua nimefeli na ukungwi basi miyeee...
ila sishindwi mimi tutarudi hata kwetu na Simba mtoto....tukarekebishe nyotaa
sent from motorola bapa and nokia jeneza
[emoji122] [emoji122] umeona eeehh...sisi wa pwani hatupikiwagi na wabaraa...kwetu mapishi ndo yalikoanzia ya jikoni mpk chumbani....!!!ukitaka vibibi,maharage ya kukata na biriani lakeee...Simba Mtoto!
..hapo sasa ndo nimekufahamu uzuri,nyakanga kapata bibie!
..kabla sijasahau,na kamati ya mapishi uisimamie mwenyewe!
Kwani na wewe washakuwahi?is up to u....[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
sent from motorola bapa and nokia jeneza
Kweli aisee mkuu [emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Mkuu,
Tupunguze kuzurura jukwaa la siasa. Tupige kambi MMU.
The world is moving so fast, and we seem to be left behind!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
- KANA -
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]...Simba Mtoto!
..hapo sasa ndo nimekufahamu uzuri,nyakanga kapata bibie!
..kabla sijasahau,na kamati ya mapishi uisimamie mwenyewe!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani na wewe washakuwahi?
- KANA -
zamaaaani humuhumu tena anasoma tu hapa [emoji3] [emoji3] nampenda haswaaa!!muitalia wanguuuu wa Sakuuu!!!Kwani na wewe washakuwahi?
- KANA -
Tenaaaaa [emoji108][emoji122] [emoji122] umeona eeehh...sisi wa pwani hatupikiwagi na wabaraa...kwetu mapishi ndo yalikoanzia ya jikoni mpk chumbani....!!!ukitaka vibibi,maharage ya kukata na biriani lakeee
tutapika sisi wenyeweeee......
hatubahatishi sieeeeee....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Tenaaaaa [emoji108]
Asante sana Madame S na mshkaji wangu Bailly5 [emoji120] tunawapenda pia jaman Mungu azidi kuwaweka na kutimiza malengo yenuhua unatuombea kila lenye mema me na mshikaji wako Shunie but leo naomba niwawish nanyi kwenye safari yenu hii mnayoindeleza
mungu awasimamie mdumu wote milele
safari mliyoianza ina kila aina ya misukosuko hope u two u can both make it till the end
tunawapenda!
shemeji lee empire kila la heri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jina tafadhalizamaaaani humuhumu tena anasoma tu hapa [emoji3] [emoji3] nampenda haswaaa!!muitalia wanguuuu wa Sakuuu!!!
Asantee sanahua unatuombea kila lenye mema me na mshikaji wako Shunie but leo naomba niwawish nanyi kwenye safari yenu hii mnayoindeleza
mungu awasimamie mdumu wote milele
safari mliyoianza ina kila aina ya misukosuko hope u two u can both make it till the end
tunawapenda!
shemeji lee empire kila la heri