Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,632
...marhabaaaa!!![emoji122] [emoji122] umeona eeehh...sisi wa pwani hatupikiwagi na wabaraa...kwetu mapishi ndo yalikoanzia ya jikoni mpk chumbani....!!!ukitaka vibibi,maharage ya kukata na biriani lakeee
tutapika sisi wenyeweeee......
naogopa nyaku nyakuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jina tafadhali
Hahahhah nyakanga nimepatahatubahatishi sieeeeee....[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Amyn kwa dua zako mamiAsante sana Madame S na mshkaji wangu Bailly5 [emoji120] tunawapenda pia jaman Mungu azidi kuwaweka na kutimiza malengo yenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]subiri yako yapite yangu yajaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji108] [emoji108]
Una la kuongeza Upiversity...marhabaaaa!!!
..nyakanga umetisha sana!
hahaha misondo umealikwa mwali wampakataje,tuwaachie manyakanga mwali mumfunge kibwebwe,kutwanga hakuna kazi,ujue utachungaje,gari lisilo sukani, abiria tutapandaje Shunie geniveros [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3] [emoji3] [emoji3] eeehh!nataka tuone umuhimu wa unyago na nyakanga kwako...maana usungo haujawahi muacha mtu salamaa...
[emoji120]Amyn kwa dua zako mami
Anytime my wii Mungu atupe uzima tu
Mmenifrahisha usiku huu
Madame S
tenaaaa....ndo nyakangaa lao mie staki aibu wala dharau chezea sie weyee...marhabaaaa!!!
..nyakanga umetisha sana!
Dadeki, wacha nkasome story za Lara 1 nilale. Naona Hamna lingine la maana ninaloliweza humu JF.zamaaaani humuhumu tena anasoma tu hapa [emoji3] [emoji3] nampenda haswaaa!!muitalia wanguuuu wa Sakuuu!!!
Hapana chezea nyakanga wangu aibu kwa misungo tutenaaaa....ndo nyakangaa lao mie staki aibu wala dharau chezea sie weyee
Naona nishakua mpenzi mtizamaji humu JF[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
...hahahahaha.,Una la kuongeza Upiversity
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] loooh!!sasa lips hzo zinakosaje mnunua shedo...jamaniii!!!tena original napata mie kutoka hukooooo...mDadeki, wacha nkasome story za Lara 1 nilale. Naona Hamna lingine la maana ninaloliweza humu JF.
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
- KANA -
hao wasungo waso na unyagoo ndo wantutia sie aibu humu jamani looohh!!kutwa kutufanya tusionekane wa maana vya chooni wanaweka jikoni vya jikoni chooni...akaaaahhh!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] tyupa kuleeeeeHapana chezea nyakanga wangu aibu kwa misungo tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mpenzi msomaji sasaa hv!!!Naona nishakua mpenzi mtizamaji humu JF
- KANA -