Elections 2010 Shura ya maimamu yalia na polisi kuwapiga "stop" maandamano

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
Shura ya maimamu inayoongozwa na Sheikh Ponda Issa Ponda imewalalamikia polisi wa kanda ya kati inayosimamiwa na Afande Kova kwa kuwakatalia haki yao ya kimsingi ya kuandamana na kuelimisha waumini wao juu ya elimu ya uraia kabla ya uchaguzi mkuu ujao hivi karibuni.

Afande Kova jana aliwakatalia kwa sababu joto la uchaguzi liko juu na kazi hiyo sasa yafanywa na wagombea na taasisi zisizo za kiserikali.

SOURCE : CHANNEL TEN EVENING NEWS
 
Joto liko juu wapi?joto liko kawaida tu kwa wao wanaotaka kuchakachua matokeo ndo wanaona joto liko juu
 

Kova tunataka amani, tekeleza majukumu yako kulingana na sheria. wataelimisha baada ya uchaguzi.:thumb:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…