Shusha App zako bora za Kuchekia Mechi za Mpira wa miguu

Shusha App zako bora za Kuchekia Mechi za Mpira wa miguu

Mzurulaji

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2021
Posts
283
Reaction score
639
Habari zenu wakuu, sisi wazee wa online tumekuwa tukitumia njia nyingi na app nyingi katika kutazama Mechi za Barani ulaya, na mashindano mbalimbali kama Uefa Champions League, FA, Carabao n.k Pamoja na League yetu ya Bongo.

App gani unazozifahamu ambazo unatumia Kucheki Match live. Iwe ni za Bongo, Ulaya au Mchanganyiko.
Hakikisha unaandika sifa za App hiyo.

Wakuu mimi natumia,

1. Yacine Tv App

Hii App kwangu ni bora tofauti na kuwa imedeal na league za uingereza tu. Lakini ina option ya kubadiri Quality ya Match kutokana na Mb ulizonazo, au kama upo sehemu ambayo mtandao unasumbua.

Tatizo ni moja la hii App imedeal na League za uingereza Tu.

Shusha App yako unayoikubali... Pamoja na zifa zake... Natanguliza shukrani.[emoji116][emoji116][emoji116]
 
Habari zenu wakuu, sisi wazee wa online tumekuwa tukitumia njia nyingi na app nyingi katika kutazama Mechi za Barani ulaya, na mashindano mbalimbali kama Uefa Champions League, FA, Carabao n.k Pamoja na League yetu ya Bongo.

App gani unazozifahamu ambazo unatumia Kucheki Match live. Iwe ni za Bongo, Ulaya au Mchanganyiko.
Hakikisha unaandika sifa za App hiyo.

Wakuu mimi natumia,

1. Yacine Tv App

Hii App kwangu ni bora tofauti na kuwa imedeal na league za uingereza tu. Lakini ina option ya kubadiri Quality ya Match kutokana na Mb ulizonazo, au kama upo sehemu ambayo mtandao unasumbua.

Tatizo ni moja la hii App imedeal na League za uingereza Tu.

Shusha App yako unayoikubali... Pamoja na zifa zake... Natanguliza shukrani.[emoji116][emoji116][emoji116]
Hiyo App unalipia sh ngapi kuangalia hizo mechi ?
 
-Mad titan
-The loop

Hizi ni plugins za app ya kodi

Jana nimecheki game ya simba kwa mad titan na leo ya Yanga.

App ipo playstore kwa wenye simu za android, istore kwa wenye simu za iphone, kwenye website yao ukigoogle kwa wenye pc / laptop.

Tafuta app ya kodi, ukishaiweka fuata haya maelekezo kuweka plugin ya mad titan, kwa sasa naona the loop inazingua.

 
-Mad titan
-The loop

Hizi ni plugins za app ya kodi

Jana nimecheki game ya simba kwa mad titan na leo ya Yanga.
Hata Yacine inaonyesha michuano ya CAF kupitia beinsport. Uzuri wa Yacine ni kuwa unachagua resolution hivyo kuokoa bundle
 
Natumia hii sema tatizo matangazo ila katikati ya mechi hamna matangazo.

Wana group lao telegram 👇👇


Screenshot_20230220-151315.png
 
Hata Yacine inaonyesha michuano ya CAF kupitia beinsport. Uzuri wa Yacine ni kuwa unachagua resolution hivyo kuokoa bundle
Inapendeza maana kwa hizi plugins za kodi kuna mechi unakuta hazina option ya kupunguza resolution, jana nilicheki mechi ya yanga nilotumia gb 2 maana hakukuwa na channel zenye ubora wa kawaida, juzi nilitumia mb 900 kucheki game ya Simba kulikuwa na channel ya waarabu ina resolution ya kawaida.

Uzuri wa plugins za kodi kuna rundo la channels kibao sana yani
 
Hata Yacine inaonyesha michuano ya CAF kupitia beinsport. Uzuri wa Yacine ni kuwa unachagua resolution hivyo kuokoa bundle
Mkuu,, unachaguaje resolution kwenye yacine app
 
-Mad titan
-The loop

Hizi ni plugins za app ya kodi

Jana nimecheki game ya simba kwa mad titan na leo ya Yanga.

App ipo playstore kwa wenye simu za android, istore kwa wenye simu za iphone, kwenye website yao ukigoogle kwa wenye pc / laptop.

Tafuta app ya kodi, ukishaiweka fuata haya maelekezo kuweka plugin ya mad titan, kwa sasa naona the loop inazingua.

Safi sana mkuu
 
-Mad titan
-The loop

Hizi ni plugins za app ya kodi

Jana nimecheki game ya simba kwa mad titan na leo ya Yanga.

App ipo playstore kwa wenye simu za android, istore kwa wenye simu za iphone, kwenye website yao ukigoogle kwa wenye pc / laptop.

Tafuta app ya kodi, ukishaiweka fuata haya maelekezo kuweka plugin ya mad titan, kwa sasa naona the loop inazingua.

Big brother unaweza kuangalia hapo ?
 
Inapendeza maana kwa hizi plugins za kodi kuna mechi unakuta hazina option ya kupunguza resolution, jana nilicheki mechi ya yanga nilotumia gb 2 maana hakukuwa na channel zenye ubora wa kawaida, juzi nilitumia mb 900 kucheki game ya Simba kulikuwa na channel ya waarabu ina resolution ya kawaida.

Uzuri wa plugins za kodi kuna rundo la channels kibao sana yani
Mkuu Plugins maanayake ni Ninii...?
 
Back
Top Bottom