Shusha kinzumbi, shusha thierry manzi au gbaukre, shusha sesinyi, yanga hawatufungi tena.

Shusha kinzumbi, shusha thierry manzi au gbaukre, shusha sesinyi, yanga hawatufungi tena.

gonamwitu

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
2,187
Reaction score
2,794
Jana nimeiangalia vizuri sana timu yangu ya "SIMBA" nimegundua tunakosa quality(ubora) kwenye maeneo yafuatayo

1.Beki wa kulia kwa maana ya namba 2, upande huu anacheza kapombe: baba esta umri umeenda, nishati yake imepungua siyo yule tena nadhani thierry manzi kutoka al ahly tripoli inatakiwa aje kuchukua nafasi yake au mwamba gbaukre kutoka asec mimosas(pacha wake kwasi atohola yao hawana utofauti katika uchezaji wao)

2.Winga wa kushoto kwa maana ya namba 11 huu upande jana alicheza mutale mchezaji mfupi kama fridge ya aboda: huyu jamaa hamna kitu kifupi tumepigwa basi msilalamike sana wanalunyasi nadhani mwamba ellie mpanzu akianza kucheza anatakiwa akabidhiwe hii nafasi iwe mali yake.

3.Winga wa kulia kwa maana ya namba 7: upande huu anachezaga balua au kibu hata mutale anaweza kucheza upande huu: mwamba wa kuitwa kinzumbi anatakiwa aje awafundishe hawa wapuuzi wote winga anakuwaje.

4.Kiungo namba 10: ahoua inatakiwa aje afundishwe na sesinyi nafasi zinatengenezwaje.

Nawasilisha.
 
Jana nimeiangalia vizuri sana timu yangu ya "SIMBA" nimegundua tunakosa quality(ubora) kwenye maeneo yafuatayo

1.Beki wa kulia kwa maana ya namba 2, upande huu anacheza kapombe: baba esta umri umeenda, nishati yake imepungua siyo yule tena nadhani thierry manzi kutoka al ahly tripoli inatakiwa aje kuchukua nafasi yake au mwamba gbaukre kutoka asec mimosas(pacha wake kwasi atohola yao hawana utofauti katika uchezaji wao)

2.Winga wa kushoto kwa maana ya namba 11 huu upande jana alicheza mutale mchezaji mfupi kama fridge ya aboda: huyu jamaa hamna kitu kifupi tumepigwa basi msilalamike sana wanalunyasi nadhani mwamba ellie mpanzu akianza kucheza anatakiwa akabidhiwe hii nafasi iwe mali yake.

3.Winga wa kulia kwa maana ya namba 7: upande huu anachezaga balua au kibu hata mutale anaweza kucheza upande huu: mwamba wa kuitwa kinzumbi anatakiwa aje awafundishe hawa wapuuzi wote winga anakuwaje.

4.Kiungo namba 10: ahoua inatakiwa aje afundishwe na sesinyi nafasi zinatengenezwaje.

Nawasilisha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jana nimeiangalia vizuri sana timu yangu ya "SIMBA" nimegundua tunakosa quality(ubora) kwenye maeneo yafuatayo

1.Beki wa kulia kwa maana ya namba 2, upande huu anacheza kapombe: baba esta umri umeenda, nishati yake imepungua siyo yule tena nadhani thierry manzi kutoka al ahly tripoli inatakiwa aje kuchukua nafasi yake au mwamba gbaukre kutoka asec mimosas(pacha wake kwasi atohola yao hawana utofauti katika uchezaji wao)

2.Winga wa kushoto kwa maana ya namba 11 huu upande jana alicheza mutale mchezaji mfupi kama fridge ya aboda: huyu jamaa hamna kitu kifupi tumepigwa basi msilalamike sana wanalunyasi nadhani mwamba ellie mpanzu akianza kucheza anatakiwa akabidhiwe hii nafasi iwe mali yake.

3.Winga wa kulia kwa maana ya namba 7: upande huu anachezaga balua au kibu hata mutale anaweza kucheza upande huu: mwamba wa kuitwa kinzumbi anatakiwa aje awafundishe hawa wapuuzi wote winga anakuwaje.

4.Kiungo namba 10: ahoua inatakiwa aje afundishwe na sesinyi nafasi zinatengenezwaje.

Nawasilisha.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Mkitaka msifungwe na Yanga, fanyeni tu mabadilishano ya hawa watu wenu na Yanga!
1. Mchukueni GSM na mtuletee Mo.
2. Mchukueni Injini Hersi, mleteni Mangungu Yanga.
3. Mchukueni yule Afisa Mtendaji wa Yanga kutoka Zambia! Halafu mleteni Magori Yanga.
4. Mchukueni Miguel Gamondi na benchi lake lote la ufundi, halafu mtuletee Yanga benchi lenu lote la ufundi likiongozwa na Fadlu na Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya ufundi, ndugu Matola.
5. Wachukueni wachezaji wote wa Yanga, na nyinyi mtupatie wachezaji wenu!!

Hili zoezi likifanyika; basi mtaanza kuifunga Yanga mechi zote mfululizo! Ila siyo kwa kusajili na kufukuza kundi kubwa la wachezaji, na benchi la ufundi kila msimu unapowadia.
 
Ata Simba iwe imara vipi, itafungwa tu na Yanga labda visiwe vipigo vya mfululizo.
Ata iyo Simba iliyo tamba kwa miaka 4 Bado ili struggle kuifunga Yanga iliyo choka.
 
Jana nimeiangalia vizuri sana timu yangu ya "SIMBA" nimegundua tunakosa quality(ubora) kwenye maeneo yafuatayo

1.Beki wa kulia kwa maana ya namba 2, upande huu anacheza kapombe: baba esta umri umeenda, nishati yake imepungua siyo yule tena nadhani thierry manzi kutoka al ahly tripoli inatakiwa aje kuchukua nafasi yake au mwamba gbaukre kutoka asec mimosas(pacha wake kwasi atohola yao hawana utofauti katika uchezaji wao)

2.Winga wa kushoto kwa maana ya namba 11 huu upande jana alicheza mutale mchezaji mfupi kama fridge ya aboda: huyu jamaa hamna kitu kifupi tumepigwa basi msilalamike sana wanalunyasi nadhani mwamba ellie mpanzu akianza kucheza anatakiwa akabidhiwe hii nafasi iwe mali yake.

3.Winga wa kulia kwa maana ya namba 7: upande huu anachezaga balua au kibu hata mutale anaweza kucheza upande huu: mwamba wa kuitwa kinzumbi anatakiwa aje awafundishe hawa wapuuzi wote winga anakuwaje.

4.Kiungo namba 10: ahoua inatakiwa aje afundishwe na sesinyi nafasi zinatengenezwaje.

Nawasilisha.
Mnakuza mno hizi mambo, simba sio mbovu kivile, basi Yanga angefunga goli 7 hadi 9. izo ni propaganda tu
 
Back
Top Bottom