Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?