UONGO USIO NA MFANO BEFORWARD NDIO INAYOONGOZA KWA KUINGIZA MAGARI TZ na kila kitu kwao ni OPEN itakuwa wivu wa washindani wakeWakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?
Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?
Usidanganywe ndugu yangu. Hakuna kampuni ya uagizaji magari walio wawazi kama Beforward, unaletewa gari lako kama ulivyoonyeshwa likiwa huko lilikotoka na hata ukiwatumia kama forwading and clearing agents wako utafurahi sana huduma zao. Usidanganywe na story za vijiweni. Hata kukitokea tatizo lolote hwa jamaa wako vizuri sana kulishughulikia tena kwa wakati.Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?
Usisikilize story za watu...
Beforward hawana shida shida iko huku kwetu Bongo....
Kuna hawa jamaa wenye makampuni ya kuagiza magari....hawa ni miongoni mwa watu wanaoichafua Beforward ili watu muogope kwenda kununua Beforward, badala yake muwatumie wao ilihali wao wanaagiza huko huko BF
Beforwad ni kampuni kubwa sana hainannjaa ndogo ndogo za kuchakachua magari..
Nimewahi kuagiza gari mwenyewe beforward...lilikuja kama lilivyokuwa linaonekana kwenye picha zao....tena waliniwekea spare tyre mbili..
Mchezo wa uchakachuaji unafanyika hapa Bongo gari zikishafika...mfano kuiba redio, jeki, spare tyre au kushusha mileage.
Mimi gari yangu waliiba kale kafataki kekundu kanakokaa pale chini ya uvungu wa miguu ya abiria wa siti ya mbele..
Sina mpango wa kuagiza gari kupitia kampuni nyingine zaidi ya BF...coz bei zao zipo poa na uwazi mkubwa..
Wakuu wakati nauliza uliza kuhusu kampuni gani niitumie kuagiza gari, nimekutana na shutuma kuwahusu hawa jamaa!
Wapo wanaodai jamaa huwa wanaleta magari mabovu au muda mwingine unaletewa gari lenye engine kubwa tofauti na ulivyoagiza na bado kuna hidden costs!
Je wazoefu hizi shutuma ni za kweli?
Befoward huwa wanakuwa wawazi Sana Kwenye Magari Yao hata ukitembelea site Yao utaona Magari Yao kuanzia body,uvungu na engine.
Sometimes story za vijiweni zinaharibu Sana watu
Mkuu kale kadude kekundu ndiyo kalichomolewa? [emoji848][emoji848][emoji848] what kind of a fake thief was that?
Hapana bro....sisi si watu wa beforward bali ni wateja ambao tumeshawahi kupata huduma za beforward....binafsi sikujuta........Watu wa Beforward mnaanzisha uzi wenu halafu mnaanza kujijibu si mlipie commercial tu
Uchawi si lazima kubeba tunguri....[emoji41][emoji41]unataka kuagiza gari wakati bei tu za vitu vya mlimani city ulikuwa unalialia
Mshana JrUchawi si lazima kubeba tunguri....[emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] true nishaliona hiloo pale bandarini,mengine huwa yanavutwa kabisaa na kambaTamani niwaalike mje wakati wa kushusha magari muone watu wanavyohangaika kuibusti ili ishuke