Hilo ndiyo tatizo la viongozi wa mpira tanzania. Badala ya kungojea wakapewa analysis ya performance kwa kila mchezaji toka jopo la ufundi wao wanajitiwisha majukumu hayo na mwisho wa siku kufukuza wachezaji wazuri tu na mfano wa karibu ni mpigaji vichwa maarufu wa yanga [tambwe]. Mpaka sasa najiuliza ilikuwaje wakamtema?Nimemuona Mwenyekiti wa usajili wa simba Mzee wetu Pop akilalamika juu ya wachezaji kucheza chini ya kiwango kiukweli ukiangalia kiufundi wa mpira wachezaji wamejitahidi mpaka kufikia lakina Mwenyekiti anasema wale wote waliocheza chini ya kiwango watatafutiwa mbadara wao hii itapelekea kurudisha molali ya wachezaji chini hili lilikua halihitaji kulito kwenye vyombo vya habari Bali ilitakiw iwe siri ya viongozi .
Hans Poppe ni mwenyekiti wa kamati ya usajili. Maana yake kapewa hiyo kazi na Rais wa Simba Aveva.Nimemuona Mwenyekiti wa usajili wa simba Mzee wetu Pop akilalamika juu ya wachezaji kucheza chini ya kiwango kiukweli ukiangalia kiufundi wa mpira wachezaji wamejitahidi mpaka kufikia lakina Mwenyekiti anasema wale wote waliocheza chini ya kiwango watatafutiwa mbadara wao hii itapelekea kurudisha molali ya wachezaji chini hili lilikua halihitaji kulito kwenye vyombo vya habari Bali ilitakiw iwe siri ya viongozi .
Mkurugenzi wa ufundihivi Pope ndio katibu mkuu wa simba au afisa habari>?
Sio soka letu.. Sema soka la simba!!!!Rejea maneno ya Hamis Kiiza kuwa simba haiwezi kupata mafanikio chini ya huu uongozi uliopo madarakani kwa sasa wa hawa wahuni na waasi ....
Timu ilikuwa imeanza ku-stabilize gafla kiongozi mmoja mhuni anaamua kuivuruga kwa maslahi yake binafsi, kwa namna hii soka letu halita weza songa mbele!
Hawa wazee as if wana kadi za yanga au azam. Maana maamuzi mengine wanayofanya yanawafaidisha wapinzani zaidi.!Hans Poppe ni mwenyekiti wa kamati ya usajili. Maana yake kapewa hiyo kazi na Rais wa Simba Aveva.
Cha ajabu ni kwamba, kwa vitendo na kwa namna yoyote ile, Hans Poppe ndiyo kiongozi halisi wa Simba. Aveva yupo kama picha tu. Hana usemi wala maamuzi yoyote.
Hans Poppe hawezi kugombea nafasi ya kuchaguliwa maana katiba inambana. Alishawahi kuhukumiwa kwa uhaini! Njia iliyobaki ni kupita mlango wa nyuma na kuongoza kwa remote.
Nasubiri wamlete Okwi ili kumkatisha tamaa Kichuya. Wataanza kuchukua jwzi 25 anayotumia Kichuya na kumpa Okwi. Baada ya hapo kila kitu itakuwa raha kwa Yanga na Azam