Natoa mifano miwili ngumu kuelewa bila kuchola ila jitahidi naanzia upande wa (×) then (+).
(3×3)=9 kwa Maelezo ni ‘tatu ziwe tatu hivyo sawa na kusema (3+3+3)=9.
(3+3)=6 ‘jibu lazima lisifanane kwasabu kwenye mabano idadi ya tatu haifanani na idadi ya tatu za juu ambazo (3+3+3).
So that why Different.
Kwenye mbili nafupisha refer kama juu
(2×2)=4 sawa na (2+2)=2
(2+2)=4 jibu limefanaba kwasababu idadi ya 2 za kwenye mabano ya jumlisha sawa na idadi ya mbili ya 2 ya kwenye jumlisha tuliitengeneza kutoka kwenye (×).
Mkuu mimi HKL siachi nafasi ya wazi kwenye pepa nitafosi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.