Shy land leo wasomi najua nitawakamata tu

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,208
Reaction score
2,767
1×1=1
1+1=2

2+2=4
2×2=4

3+3=6
3×3=9

4+4=8
4×4=16

5+5=10
5×5=25

6+6=12
6×6=36.

Swali langu
2+2=4 na 2×2=4 ukiangalia vzr majibu yote yanafanana kuliko namba yoyote ile ni kwa Nini zifanane?
 
Wazee wa ugwiniland lazima waingie mitini pagumu hapa!
 
Hapo ni kama palijibahatisha tu. Maana kuzidisha ni kujumlisha mara idadi ya kizidisho
 
Natoa mifano miwili ngumu kuelewa bila kuchola ila jitahidi naanzia upande wa (×) then (+).

(3×3)=9 kwa Maelezo ni ‘tatu ziwe tatu hivyo sawa na kusema (3+3+3)=9.

(3+3)=6 ‘jibu lazima lisifanane kwasabu kwenye mabano idadi ya tatu haifanani na idadi ya tatu za juu ambazo (3+3+3).

So that why Different.


Kwenye mbili nafupisha refer kama juu

(2×2)=4 sawa na (2+2)=2

(2+2)=4 jibu limefanaba kwasababu idadi ya 2 za kwenye mabano ya jumlisha sawa na idadi ya mbili ya 2 ya kwenye jumlisha tuliitengeneza kutoka kwenye (×).

Mkuu mimi HKL siachi nafasi ya wazi kwenye pepa nitafosi tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni hivi kuzidisha maana yake ni kuongeza
Yaani 3x3 maana yake ongeza tatu tatu yaani
3×3=3+3+3
4×4=4+4+4+4
5×5=5+5+5+5+5
7×2=ongeza saba mbili=7+7

Kwa hiyo 2×2=ongeza mbili mbili=2+2.
 
Kuzidisha ni kujumlisha kunakojirudia na kujumlisha kuongeza. Shika hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…