Shy Rose aint Shy......so kind

There is a political motive behind, she is just using the poor old man as a bridge toward her political carier
 


Huyo mzee ndo anaiyetwa Jaffarai ?
 
tusha yazoea haya kwa sisiemu......mkulu wake alikuwa anajifanya kukaa mavumbini...
 
nampa tano shyrose kama vipi> ? nimependa life style yake BIG UP
 
Lazima alijiloweka na jiki baadaye..
 
tusha yazoea haya kwa sisiemu......mkulu wake alikuwa anajifanya kukaa mavumbini...

hahahaa Kikwete alifikia hadi kutambaa na walemavu mavumbini. Dah sijui kama yule mama hata kama baiskeli alipewa...
Drama tu hizo hamna lolote. Bora regnald mengi na pati kwa walemavu.
 
Watu chuki zimewajaa, why can't u be just happy and positive?
 
Watu chuki zimewajaa, why can't u be just happy and positive?

hakuna chuki hapo kaka....wewe huoni dingi yupo very serious lakini huyo shy yupo kwa ajili ya foto tu tena kama ana kwepa hivi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…