Shy Rose aint Shy......so kind

hapo mwenzenu alikuwa anapiga debe la Ubunge si unajua eeeeti MTU WA WATU!

Si kweli hii kaipiga baada ya kutangazwa baraza la mawaziri
 
hapo mwenzenu alikuwa anapiga debe la Ubunge si unajua eeeeti MTU WA WATU!
Nafasi yake NMB ndio inampa opportunity hiyo ya kuwa mtu wa watu otherwise sina uhakika kama angekuwa anafanya haya yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…