Shy- Rose Bhanji na hekima zake.

Status
Not open for further replies.

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Haya ni maneno aliyo yaandika kwenye wall yake ya Facebook.

Shy-Rose Bhanji
wewe unayejiita Eng Mayeye Mussa hivi wewe
ni mwanaume kweli? mwanaume gani wewe
kila kukicha unanifuatilia bila sababu ya
msingi na kunitusi? na kama unajiamini kwa
nini utumie jina la bandia na profile pic
ambayo si yako?
29 minutes ago · Like
 

mambo ya FB hukohuko, huku hatuzungumzi umbeya. JF ni Jukwaa la Hoja sio Jukwaa la Umbea au kuzungumzia Maisha ya watu. Umbea wenu hukohuko. :embarassed2:
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…