Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,517
- 1,407
tatizo sisi watanzania wengi wao hatuna kitu ndio maana tunashangaa hata vitu vidogo mbona kawaida tu kukodi jet, wala sio bei kubwa.
hivi rate zikoje? Ni kweli hatuna kitu, na hii bajeti ya juzi ndio imetumaliza kabisa!
hivi rate zikoje? Ni kweli hatuna kitu, na hii bajeti ya juzi ndio imetumaliza kabisa!
Ni EALA.Mshiko wa AELA ukijumlisha na Wa NMB hayo ndo matanuzi.
Ndio maana Jaffaray karudi mwenyewe,lakini jamani kama si ulimbukeni nini ndio mpaka ujifotoe na kutoa kwenye FB,masikini akipata ****** hulia mbwata,watu mbona hukodi ndege kila kukichwa na wengine wanamiliki ,sijui watu kama akina Rostam au Mkono nao wajifotoe- Safari ya kurudi Dar from Dom...
SOURCE FACEBOOK
Wakubwa wanapumua hapo.............Kaka hawa watoto wa kike tusijifananishe nao huyu kaitwa Dar mara moja si unaona hana ata mizigo kuna watu wanadhamini mapambano!
mtoto wa kike usimuonee donge
Tatizo sisi Watanzania wengi wao hatuna kitu ndio maana tunashangaa hata vitu vidogo mbona kawaida tu kukodi Jet, wala sio bei kubwa.
Ndio maana Jaffaray karudi mwenyewe,lakini jamani kama si ulimbukeni nini ndio mpaka ujifotoe na kutoa kwenye FB,masikini akipata ****** hulia mbwata,watu mbona hukodi ndege kila kukichwa na wengine wanamiliki ,sijui watu kama akina Rostam au Mkono nao wajifotoe