Si ajabu wangekuwa washadai yeye si Mtanzania!

Hussein Bashe kuna kipindi hakua raia.
General Ulimwengu kuna kipindi hakua raia..
List ni ndefu...
Hiyo ndio silaha ya mwisho ya watawala kama hawataki kukuua..
 


Nimesoma article inasema Miguna aliomba uraia wa Canada mwaka 2010
na akapewa na anamiliki passport ya Canada....
sasa alitarajia katiba mpya ya Kenya ingeleta dual citizenship ..haikuleta...
na kwa mujibu wa katiba ya sasa huwezi kuwa raia wa nchi ingine bila kuukana
uraia wa Kenya......but watu wenye passport za nchi zingine Kenya wapo wengi..
'wanavumiliwa' tu kiaina kwa sababu ya 'connections'

Kama ilivyo Tanzania.......

now wanachokifanya now ni kumtesa kwa kutumia hiyo loophole ..
na yeye hataki kushindwa.....
 

Out of Topic.... nimepata ashiki ya kukuchokoza sijui kwanini. Kibo Complex....

Halafu nina salamu na mashtaka yako kibao.
 
Wanachomfanyia Miguna hata kiubinadamu ni ukatili. Wanamfanya kama kifurushi wanakitoa huku mara kule.
Kenyata kazingua sana.
 
Je alieapa kisheria hana kosa? Sheria za Kenya zinasemaje?
 
Je alieapa kisheria hana kosa? Sheria za Kenya zinasemaje?

Aliyeapa ndiye mkosaji mkuu, ndiye alipaswa kunyongwa kwanza, ila serikali inamuogopa balaa, kumkamata Raila Odinga Kenya ni kuwa tayari kulipeleka taifa kwenye machafuko ambayo hayatakua na mwisho, ana wafuasi mamilioni ambao wapo radhi kujitolea muhanga kwa ajii yake......sijui kawapa nini jamaa...hehehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…