Si ajitokeze jamani, hata akinichezea sawa tu

Si ajitokeze jamani, hata akinichezea sawa tu

Checnoris

Senior Member
Joined
Aug 21, 2022
Posts
123
Reaction score
269
Screenshot_20220908-131443.jpg
aje mdada mmoja
 
Ukiwa huna hela, huna chochote cha kukupa kula, basi jitahidi uwe unavaa kuwa smart, halafu ukikaa na mdada jitahidi kujifanya kama umejikatia tamaa yaanii Moja haikai mbili haitembei atakuonea huruma mpaka mbususu utakula, nishatumia njia ya namna hii 2013 huko nilikuwa na hali mbaya, lakini nilikuwa naletewa msosi mpaka magetoni na Mtoto baba mwenyenyumba ambaye alikuwa mtu mzima pia Mzee wake amlipa vyumba vyake naye anakula hela za wapangaji
 
Mwanaume ukiwa huna maisha utadharaulika mpaka basi 😓😓. Sometimes nawaoneaga huruma sana. Kuna mmoja kaamua kujilewea zake tu maana kabwagwa na manzi manzi kaenda kuolewa na mchizi mwenye maisha na kampuni afu young tu. Very sad..so sad....
 
Back
Top Bottom