assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
BILA SHAKA BAADA YA JAJI WARIOBA KUTANGAZA RASMU YA KATIBA HAYA YAMEJITOKEZA
1.kuwa na serikali tatu yaani srikali ya zanziba,serikali ya Tanganyika na serikali ya shirikisho
2.kuwa na raisi wa zanziba, raisi wa Tanganyika na rais wa shirikisho
3 kila jamhuri yani ya zanziba na jamhuri ya Tanganyika kuwa na mamlaka kamili
4 kuwe na tume huru ya uchaguzi
Sasa ukiangalia point no 4 ndio iliomnyima urais maalim seif zanzibari,sasa kwa jinsi rasimu mpya ijayo itatoa tume huru bila shaka maalim seif anasubiri tu kutangazwa rais wa jamhuri ya zanziba 2015 kwani CHADEMA NA CCM NI DHAIFU SANA VISIWANI HAPA.
1.kuwa na serikali tatu yaani srikali ya zanziba,serikali ya Tanganyika na serikali ya shirikisho
2.kuwa na raisi wa zanziba, raisi wa Tanganyika na rais wa shirikisho
3 kila jamhuri yani ya zanziba na jamhuri ya Tanganyika kuwa na mamlaka kamili
4 kuwe na tume huru ya uchaguzi
Sasa ukiangalia point no 4 ndio iliomnyima urais maalim seif zanzibari,sasa kwa jinsi rasimu mpya ijayo itatoa tume huru bila shaka maalim seif anasubiri tu kutangazwa rais wa jamhuri ya zanziba 2015 kwani CHADEMA NA CCM NI DHAIFU SANA VISIWANI HAPA.